Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Jaribu kufikiria vzr ,acha kufikiria kidogo...umesahau msemo wa sisimizi kumuua tembo au?

Hata goiati alijiamini sana ktk mapigano na kilichomtokea nadhani ulikisoma au kukihadithiwa...


"Tafakari chukua hatua maana hata wewe kitambulisho cha ujasiriamali kinakuhusu ,ukiachilia mbali ushuru unaolipa kila siku"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ila samahan huyo Lisu yeye unayemsemea kutaka kuwa rais unahis ataondoa izo kodi? Unaamin atafanya nn cha ziada kuwafurahisha Watanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo utetezi wako kwa makonda Maliyamungu Bashite ni utetezi wa kipumbavu sana usariti na Bashite kumpiga Risasi vina uhusiano gani? Hata mkatae vipi hata mmtetee Bashite vipi hawezi kuchomoka kwenye ushiriki wa shambulio kwa Tundu Lisu endeleeni kuomba mungu huyo magufuli awe Rais wa milele amlinde Bashite mpaka kufa lakini ikitokea kesho magufuli hayupo ikulu huyo Bashite ajipange ingawa tunajua atakimbia nchini na kwenda kujificha mbali
Ushahidi unao? au chuki tu!
 
Kwan ila samahan huyo Lisu yeye unayemsemea kutaka kuwa rais unahis ataondoa izo kodi? Unaamin atafanya nn cha ziada kuwafurahisha Watanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nnachojaribu kuzungumzia ni utawala bora na wala sio lisu hapa,sasahv ukatae ukubali hali ya uchumi imeporomoka na hakuna kinachoendelea zaid ya ukusanyaji kodi usio na mpangilio na kununua ndege na kujenga hizo flyover ambazo kwa mtanzania wa kawaida hazimsaidii chochote,

Sasahv wafanya biashara wengi wamepunguza mitaji yao sababu ya kodi na ww ni shahidi ktk hilo so unadhani uchumi unakua vep bila mfanyabiashara kukuza mtaji .

Swala la lisu liko wazi kabisa kuwa alipigwa risasi na askari walioagizwa na hakuna aliekamatwa wala kushukiwa mpk sasa,nadhani utakua umeelewa vyema hapo.

#Fikrapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.

Ni wazi kuwa mauaji ya Tundu Lissu yalipangwa ila Mungu alipenda aendelee kuishi kadri atakavyomjalia uhai. Sababu yoyote eti anatakiwa ahojiwe ni sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe. CCM wanafahamu fika mtu aliyeitisha mauaji ya Tundu Lissu. All ni all, ikiwa Tundu Lissu atauawa kwa namna yoyote ile iwe kwa sumu, risasi au kufungwa jela, dunia nzima inafahamu hila ambazo zinaandaliwa dhidi yake lakini hakuna mtu atakayeishi milele hapa duniani. Kumuua binadamu mwenzako kwa kisingizio cha uchochezi, haiubaliki hata kidogo.
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Gravitational force between bodies is not constant. It obeys the inverse square law. Ngwini spotted!
 
Makonda gani? huyu Bashite?? acheni bwana akache mkutano mkubwa wa kitaifa wa makinikia aende Dodoma??

aaahhh eti we Alibati bashite ulikiwa Dodoma kweli?? ulienda kufanya nini ??
 
Inaonekana mgonjwa bado hajapona vizuri maana kwa nchi hakuna aliekatazwa kuonekana Dodoma


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gravitational force between bodies is not constant. It obeys the inverse square law. Ngwini spotted!
Freefall without any resistance is always constant, 9.8 m/s whether the body weighs 100 tones or 2 kilos.
 
Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?


Chukulia ww au ndugu yako yange kuwa yamemkuta je, unge elewa? Hii kitu hata kipofu akisikia au kiziwi au mtoto hata wa latano atajua tu kuna kitu! Hao askari kwanini waliondoka lindoni ilo ndo swali na ni kwa amri ya nani na nani kwa wakati ule alikuwa ni waziri wa ulinzi?
 
Mbona facts ameziweka wazi tuu! Au wewe unayako mengine? Kama unapingana na aliyoyasema lisu basi toa vigezo vyako vitakavyopingana na maelezo ya.majeruhi mhusika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza sana mtu anapo kosa hutu na kubisha kitu ambacho kipo wazi, watu kama hawa ni watu wanafki sana ndo huwa wanaombea vifo adui zao.
 
Back
Top Bottom