Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Hawezi sababu rais wetu kipenzi cha watanzania Mh Edward Lowasa hajamaliza kipindi chake cha urais wa Facebook JF Twitter na Instalgram hajamaliza mkuu
Akiwa na kamati ya ufundi
IMG-20190717-WA0001.jpeg
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
So what. Rubbish. Watu wanasonga na miradi mikubwa. Wewe unaongelea ya zamani,kwani hata wakihojiwa ndio utakuwa Kama zamani
 
Huyu mzee mnajua ameshachanganyikiwa zama zake zimeshakwisha na ubunge harudishiwi walahi kwanza wananchi wake wenyewe kwa sasa hawamtaki sasa sijui kwann anahangaika hivyo bora atulize hiyo mishono yake huku akifuatilia miradi yake na namna ya kuijenga familia yake kwa sasa siasa aachane nazo next time watampiga sindano ya REST IN PEACE
 
Huyu mzee mnajua ameshachanganyikiwa zama zake zimeshakwisha na ubunge harudishiwi walahi kwanza wananchi wake wenyewe kwa sasa hawamtaki sasa sijui kwann anahangaika hivyo bora atulize hiyo mishono yake huku akifuatilia miradi yake na namna ya kuijenga familia yake kwa sasa siasa aachane nazo next time watampiga sindano ya REST IN PEACE

Hata Mugabe nae ame RIP. Imewaumiza sana yeye kushinda mauti
 
Kila jambo na wakati wake upepo ugeuka
Hawa watu waliofanya hayo matukio watu wakiliamsha itasaidia kupunguza hivyo vitendo,BASHITE akikamatwa na wachunguzi wa Scotland Yard wakija na kumoji vizuri na Kuminya KALIO na MBUPU lazima ataeleza ukweli.
 
Hawa watu waliofanya hayo matukio watu wakiliamsha itasaidia kupunguza hivyo vitendo,BASHITE akikamatwa na wachunguzi wa Scotland Yard wakija na kumoji vizuri na Kuminya KALIO na MBUPU lazima ataeleza ukweli.
Awamu zingine hata miaka 40 ijayo yungali Kijana iko siku itaingia awamu ya wengine waliowaumiza nao watawalipia visasi uzuri wako nyumba za vioo.
 
Wale walinzi wa getini popote walipo ile laana haitowaacha Salama, Kwa kuwafungulia geti magaidi na kwenda kumdhuru MTU asiye na hatia.
 
Simu zote uhifadhiwa wakifatilia call zote za suspect siku zaja watadaka mission yote.
 
Huyu mzee mnajua ameshachanganyikiwa zama zake zimeshakwisha na ubunge harudishiwi walahi kwanza wananchi wake wenyewe kwa sasa hawamtaki sasa sijui kwann anahangaika hivyo bora atulize hiyo mishono yake huku akifuatilia miradi yake na namna ya kuijenga familia yake kwa sasa siasa aachane nazo next time watampiga sindano ya REST IN PEACE
Kuwa na akiba ya maneno ni busara, maana maelezo yako yanaonesha kuna kitu unakijua![emoji848]
 
Back
Top Bottom