Tundu Lissu sio Fidel Castro, sio Che Guevara, sio Kwame Nkrumah wala si Nelson Mandela

Tundu Lissu sio Fidel Castro, sio Che Guevara, sio Kwame Nkrumah wala si Nelson Mandela

Tundu Lissu ni mwanasiasa anayerudi nchini Tanzania kula bata baada ya matakwa yake yote kutimizwa, utakuta kuna mtu anamsubiri Tundu Lissu akiamini ni mpinzani, la hasha, Tundu Lissu anarudi nchini Tanzania baada ya yale yote aliyoyapigania katika harakati zake kutimizwa na Hayati Rais Magufuli, Tundu Lissu si yule wa mwaka 2009 aliyekuwa anaandika vitabu na kufanya tafiti kule North Mara kuhusu migodi akiwa pamoja na Viongozi wa Kitaifa wa Chadema wakipitia mikataba ya madini na kusema tunadhulumiwa sana kwenye mikataba yetu ya madini, Tundu Lissu sio yule wa 2008 akionekana TBC1 akielezea issue ya mgodi wa North Mara,Buzwagi na GGM.
Huwa kuna maana gani ya kuandika namba ya simu baada ya kumaliza makala?
 
Lissu karibu Tanzania vijana wapo wamejiandaa kukubeba mpaka kwenye ofisi zenu za kukodi Kinondoni, karibu sana karibu safari baridi, konyagi na ndafu, pia ruzuku imeanza kuingia karibu ule unywe!
 
Tundu Lissu ni mwanasiasa anayerudi nchini Tanzania kula bata baada ya matakwa yake yote kutimizwa, utakuta kuna mtu anamsubiri Tundu Lissu akiamini ni mpinzani, la hasha, Tundu Lissu anarudi nchini Tanzania baada ya yale yote aliyoyapigania katika harakati zake kutimizwa na Hayati Rais Magufuli, Tundu Lissu si yule wa mwaka 2009 aliyekuwa anaandika vitabu na kufanya tafiti kule North Mara kuhusu migodi akiwa pamoja na Viongozi wa Kitaifa wa Chadema wakipitia mikataba ya madini na kusema tunadhulumiwa sana kwenye mikataba yetu ya madini, Tundu Lissu sio yule wa 2008 akionekana TBC1 akielezea issue ya mgodi wa North Mara,Buzwagi na GGM.
Jonas Savimbi
Ndabaningi Sithole
Afonso Dhlakama
Judas Iskariote
 
Hadi umeamua kumwandikia tangazo reeeefu hapa, ina maana kuna jambo linalomhusu Tundu Lissu linalokuhangaisha akili yako kwa sehemu kubwa sana.

Hao viongozi uliowaorodhesha hapo, na kutaka ndiyo kiwe kipimo cha kumlinganisha Tundu Lissu, unawajua?

Lakini usinilaumu kwa kusema haya, kwa maana sikupata nafasi ya kusoma takataka zilizomo ndani ya hilo andiko refu.
 
Ukweli ni Lissu Antipass Mughwai hawezi kuwa hao uliowataja kabisa hata kidogo he is himself katika context ya Tanzania tu hawezi kuwa Mandela hata kidogo na hakuna MTU aliyekua MTU mwingine hapa duniani every person is unique in his way and context and time! Shule mnaenda kukariri ma kukopy makaratasi tu au na kujua pia! Hata ungepublish paper kumi au milioni kama akili haijafunguka na kujua unataka Nini unakua hopeless tu na madigirii yako!
 
Kizazi cha nkwame kimepita now ni ukurasa wa lissu .ukiwa na wivu wa kuja kwa lissu soma riwaya za wivu kuliko kuandika hoja zisizo na fact
 
Tundu Lissu ni huyu anayetaka tutengane kama TANZANIA Taifa Huru. Tuwe Tanganyika , Pemba na Unguja ( Maana hata Zanzibar haijawahi kuwa na muungano wowote kwenye nyaraka kati ya visiwa vya Pemba ,Unguja ,Tumbatu kuwa NCHI 1 ya Zanzibar ) nje ya MUUNGANO wa JMT🇹🇿.

Huyo ndiye aliyetaka kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania by 2020 lakini hataki Muungano.Na ilhali anajua tunayo Article of Union 1964 yenye mambo yote waliyokubaliana Founding Fathers ( Karume na Nyerere)

Viongozi wengine wabakie kuwa wakosoaji tu na sio kuwa viongozi wa kuongoza TAIFA wanalotaka libomoke.

Werevu mwingi , mbele KIZA
 

Attachments

  • VID-20230116-WA0228.mp4
    1.4 MB
Akirudi,tutatazama mapokezi tame airport. Watu wangapi wataenda kumpokea. Tutajua kama Tundu Lissu ni nyang'au au ni nyau..
Last time alipokuja nilikwenda airport. Watu wangapi pale? Labda elfu moja au elfu mbili.Sikumbuki,it was such a long time ago. Lakini wale watu nadhani walikuwa a little bit tense kwa sababu Polisi walikuwa wanacomplain kuhusu mikusanyiko ya watu.
 
Back
Top Bottom