Kama ni kweli ilikuaje basi watu wa Kimara kuvunjiwa nyumba zao lkn zoezi lilipofikia huko kanda pendwa akasitisha zoezi eti MSIWAVUNJIE HAWA MAANA NDIYO WALIONIPA KURA?? Hilo pekee halitasahaulika kwa wale wote waliopatwa na madhara yale ya kibaguzi.Eti Dunia nzima ifahamu? WTF, Dunia inafahamu kuhusu Raisi wa JMTZ Magufuli tu na siyo Esta Bulaya au sijui Zito Kabwe, ...
Huyu Damu ya Mh Lissu bado inasumbua ubongo wake. Na hawatatulia hadi hapo watakapotembea uchi. Mkuu wala usiumeze kichwa kwa watu wenye laana kama hawa. Waache laana zao ziwe juu ya vichwa vyao wenyewe.Kuna siku umewahi kutumia akili huru kujadili jambo lolote humu? Kila wakati unapojadili jambo humu umekuwa makini sana kuhakikisha jambo hilo linaponda watu fulani na kusifia watu fulani tu.
Hakuna akili huru ya namna yako,sasa hapo nani ameoshwa akili?
Rais anayo ruhsa yakuwatumikia Raia wake popote alipo ndani ya Jamhuri ya Tanzania.Jibu hili, kama mnataka wabunge wa CDM warudishe pesa walizolipwa in advance na Bunge, kwanini Rais nae asirudishe hizo pesa alizolipwa muda ambao hakuwa ikulu?!
Sababu nae ndie mtoro wa kweli, alieondoka bila hata kutoa sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app
tuta changa tu ni hela ndogo, vipi mangula anaendeleaje?Kama WHO ndio iliwapeleka bungeni, wape kichwa tu, pesa zirudi haraka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
then utapata faida ganiInabidi washughulikiwe hawa wapinzani. Washukiwe kama mwewe. Haiwezekani muda wa vikao nyie mwala bata Dar alafu mnapewa perdiem?
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
Eti nabakia Africa.
msukuma hata usomeje ushamba huwa hauishiLissu anawaingiza king wabunge wa Chadema wavunje sheria ili wakose ubunge km yeye
huwa nadhani zimo kumbe na wewe siku hizi boyaEti Dunia nzima ifahamu? WTF, Dunia inafahamu kuhusu Raisi wa JMTZ Magufuli tu na siyo Esta Bulaya au sijui Zito Kabwe, ...
msukuma hata usomeje ushamba huwa hauishi
kama huna cha kuongea si ukae kimya ufiche ujinga wako?Ya kwake yanamshinda Leo anashauri ya wengine!
hakuna utawala dhalimu uliwahi kudumu, nanyi mtaanguka tuYeye mwenyewe aliliwa kichwa kimasiharasihara tu hivi Leo hii anashauri wenzake! Tunatofautiana akili.
Sheria ipi mkuu?Lissu anawaingiza king wabunge wa Chadema wavunje sheria ili wakose ubunge km yeye
Ushahidi wake utaupata Oktoba mwaka huu, wala siyo mbaliKama ww n mwerevu huko bc waliobaki n mataahira watupu kanusha hayo yaliyosemwa kwa ushahid sio unabwabwaja kama Bashite
Sent using Jamii Forums mobile app
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Nilijibu hivyo mkuu na nilikuwa tunabishana kazini kwangu nikaulizwa hapa ni kwenu? Nikasema hapana, nikaulizwa tena utazikwa hapa nikasema hapana. Nikaulizwa kwann upo hapa? Nikasema nipo kazini. Nikaambiwa ss kwann hufanyii utakapozikiwa? Huko nyumbani kwenu? Nikaishia kusema mimi si amiri jeshi mkuu na tupo hapa kufanya kazi si kubishana bishana.Kasema katika hotuba yake alipokuwa anamuapisha Mwigulu kwamba; "yupo kwao na akifa atazikwa huko". Sasa unashindwaje kujibu hivyo??!!.