Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Tulisema tukapingwa hadi na mayalla kuwa hatujui kiswahili cha neno ikulu, haya sasa
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.

Bwana mdogo utapasua Injini hiyo gari sio size yako
 
Halafu nidharau kubwa sana kwa wanachama waliopo Tanzania mtu anaongoza yuko Ulaya lakini mtu huyo huyo anahoji eti kwanini Rais yuko Chato-Tanzania, hawa Chadema kweli Sasa hivi hawana think tank kabisa
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Nakubaliana na maelezo sababu it is crystal clear. Shida yangu ipo baada ya siku 14 kuisha, sababu kwasasa wabunge wa CCM na vibaraka wao, wapo wanasambaziana ugonjwa. Sasa kurudi kwenye kundi la watu wajinga wagonjwa hapo ndio napata shida
 
Nawashangaa nyumbu wa Ufipa wamegeuzwa msukule na DJ
Halafu nidharau kubwa sana kwa wanachama waliopo Tanzania mtu anaongoza yuko Ulaya lakini mtu huyo huyo anahoji eti kwanini Rais yuko Chato-Tanzania, hawa Chadema kweli Sasa hivi hawana think tank kabisa
 
Ni makosa makubwa kwa mwanasheria kusema kuwa Mch Lwakatare ,Balozi Mahiga,R.Ndassa walifariki kwa Corona virus.Maana wenye ruhusa ya kuthibitisha ni familia ya marehemu na cheti cha Daktari ndio uthibitisho.

Wewe mwenyewe kama mwanasheria unasema wizi ni kuchukua mali ya mtu bila ridhaa je hiyo posho ya bunge ilikuwa ya kuja kutumia na mabwana zao au makahaba wao huko Dar au kujikimu hapo Dodoma? Huoni kama wamelidefraud bunge?

Najua Chadema Act wazalendo mmefilisika kisiasa tena hata kifikra.
 
Hakuna siri chin ya jua au hukumsikia Mama Samia alichozungumza ktk maziko?
Ni makosa makubwa makubwa kwa mwanasheria kusema kuwa Mch Lwakatare ,Balozi Mahiga,R.Ndassa walifariki kwa Corona. Maana wenye ruhusa ya kuthibitisha ni familia ya marehemu na cheti cha Daktari ndio uthibitisho.
Wewe mwenyewe kama mwanasheria unasema wizi ni kuchukua mali ya mtu bila ridhaa je hiyo posho ya bunge ilikuwa ya kuja kutumia na mabwana zao au makahaba wao huko Dar au kujikimu hapo Dodoma? Huoni kama wamelidefraud bunge?
Najua Chadema na mmelisika kisiasa tena hata kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu amekuwa brainwashed,

Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?

Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani

Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Dada leo umevaa bikini ya pink ina doa kati nimeiona
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
wewe ni hiyo kiriba tumbo ulichonacho Korona ikikupiga hapo mjengoni huchomoi.
 
Lissu amekuwa brainwashed,

Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?

Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani

Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Kwani wewe unaumia nini akiishi kwa mabeberu? unajua anafanya nini?
 
Ikulu ni makazi na ofisi ya Rais.

Rais ana ikulu nyingi hapa nchini.

Rais ni ofisi inayotembea kokote anakokuwa anauwezo wa kutimiza majukumu yake.

Ukija kwa Mbunge , yeye ofisi yake kuu ni Bungeni na pia jimboni kwake.

Hivyo Mbunge anapaswa kuwa Bungeni muda ambao ni wa kuwa bungeni, na muda mwingine awe jimboni kwake.

Hivyo kuondoka Bungeni wakati wa vikao vya bunge huo ni utoro.

Kama yeye Lisu baada ya kutuambia kuwa kapona halafu hakuwa anakwenda bungeni huo sasa ndio utoro wenyewe.
 
Yeye mwenyewe aliliwa kichwa kimasiharasihara tu hivi Leo hii anashauri wenzake! Tunatofautiana akili.
Pamoja na hayo kwani maisha yake hayasongi mbele? Mlitaka kidhulumu uhai wake mkashindwa kwakuwa Mungu pekee ndiye Muumba. Pesa mliweza kwakuwa mlidhani uhai wake uko hapo. Nalo mmeshindwa. Endeleeni kuganga njaa kwa Waheshimiwa wa Chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Lissu kamvua nguo Ndugai , Posho za wabunge mngetaka zisiwafikie basi msingewaingizia kwenye akaunti zao
 
Lissu amekuwa brainwashed,

Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?

Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani

Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Chadema haijamsahau Mh Lissu na haitakaa itokee hivyo. Lazima ashirikish kila hatua japokuwa yuko huko aliko. Mh Lissu hakukimbia nchi wala Chama chake wala majukumu yake bali yuko huko kupigania uhai wake.

Wewe ni miongoni mliotaka kumuondoa Mh Lissu Duniani na sasa roho zenu hazina amani kwakuwa bado Mungu anampigania na ndiyo maana yoko hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom