Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Kwanini mtu huyo amejificha Chato?Sio kesi Kama unaupenda uhai rudisha per diem.zikatumike kupambana na Corona kwa Nini unachukua milioni 110 unatokomea nazo gizani rudisha uwe CCM au chadema rudisha haraka .Hakuna Cha kuleana Wala kubembelezana kisa wewe CCM