MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Dunia nzima inafahamu pia kama chato ipo ndani ya Tanzania... hata afanye kazi chato ama wapi.. mradi yupo Tanzania, anatuhudumia wa Tanzania.. sisi wananchi tunafurahi tu.
Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge
Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu
Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge
Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu