Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Dunia nzima inafahamu pia kama chato ipo ndani ya Tanzania... hata afanye kazi chato ama wapi.. mradi yupo Tanzania, anatuhudumia wa Tanzania.. sisi wananchi tunafurahi tu.

Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge

Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu
 
Lissu amekuwa brainwashed,

Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?

Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani

Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Jibu hili, kama mnataka wabunge wa CHADEMA warudishe pesa walizolipwa in advance na Bunge, kwanini Rais nae asirudishe hizo pesa alizolipwa muda ambao hakuwa ikulu?!

Sababu nae ndie mtoro wa kweli, alieondoka bila hata kutoa sababu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari kuna Wabunge watatu wameshakufa kwa coronavirus. Gertrude Lwakatare, Richard Ndassa na Dr. Augustine Mahiga ni wahanga wa coronavirus. Kama Serikali ya Magufuli na Spika Ndugai wanabisha basi waseme kwa nini wamewazika Waheshimiwa hawa kwa taratibu za mazishi ya
Kumbe huyu jamaa ni mweupe hivi eti kama Spika anabisha! Spika abishe yeye amekuwa daktari?

Serikali msipoteze muda kumjibu huyu mfuasi wa Mabeberu
 
Ya kwake yanamshinda Leo anashauri ya wengine!
Lisu apambane na yake Raisi aweza fanyia kazi popote ndani ya jamhuri ya muungano hata kichakani tofauti na mbunge .Mbunge ofisii yake Ni bungeni ndio kituu chake kazi sionkwrnye chumba Cha lockdown guess house aliko na hawara yake
 
Mnaochangia UZI huu anzeni kwanza kusoma katiba juu ya Rais, utendaji kazi na makazi yake, msijibu tu kwa sababu mmesoma jina la Lissu bila kuelewa alichokisema.
 
Dunia nzima inafahamu pia kama chato ipo ndani ya Tanzania... hata afanye kazi chato ama wapi.. mradi yupo Tanzania, anatuhudumia wa Tanzania.. sisi wananchi tunafurahi tu.

Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge

Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu
Sheria inamtaka afanyie kazi IKULU, acha mapapai yako, IKULU NI DODOMA, DAR ES SALAAM na IKULU NYINE zote kwenye mikoa, CHATO HAKUNA ikulu bali makazi yake binafsi, huwezi kuajiriwa ukfanyia kazi nyumbani kwako, NYERERE HAJAWAHI kufanyia kazi tokea Butiama, bali Magogoni
 
Ndugu.
Hakuna asieupenda uhai wake
Mimi Ni lumumba damdam lakini kwa hili
Ndugai amefeli pakubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kesi Kama unaupenda uhai rudisha per diem.zikatumike kupambana na Corona kwa Nini unachukua milioni 110 unatokomea nazo gizani rudisha uwe CCM au chadema rudisha haraka .Hakuna Cha kuleana Wala kubembelezana kisa wewe CCM
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe. Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Posho za kujikimu siyo kifungo cha mbunge kuhudhuria bunge, ni Haki kama mbunge kupewa hizo hela whether awepo au asiwe bungeni, Spika wenu ****** alichofanya ni kuupotosha Umma wa Watanzania kuwa wabunge wa CHADEMA wamelipwa sitting allowance ambayo mbunge analipwa tu pale anapohudhuria vikao, Period
 
I wish angekuwa anatokea mtu huko CCM awe anajaribu kujibu hoja za Lissu, ajibu moja baada ya nyingine, asiruke hata moja, ingekuwa poa sana.

Halafu Spika peke yake atolee maelezo kwenye suala la malipo ya wabunge, Sitting allowance na Per diem.

Aseme ni kina nani wanaostahili hayo malipo na kwanini, na kina nani wasiostahili hayo malipo na kwanini.

Then tuchambue pumba na mchele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe. Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Aliyejificha Chato hujamuona au unajiondoa ufahamu?
 
Back
Top Bottom