Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Huna jipya wewe tulia kama MAMA yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa future presidaa tumekuelewa
Its not over until its over...[emoji769]
 
Huruma Shaidi anakuhiraji huku akulime nyundo hizi perepete nyingine hazikuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andikeni kwa kimwela bana hicho kiburushi kigumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

taratibu nizip za karatni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your brain is too cheap to understand the real meaning of the article .
Wewe endlea kuimba taarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Dunia nzima ifahamu? WTF, Dunia inafahamu kuhusu Raisi wa JMTZ Magufuli tu na siyo Esta Bulaya au sijui Zito Kabwe, ...
Kwa taarifa yako dunia nzima ina mshangaa Rais wa Tanzania. Inamshangaa mtu huyu hajawahi kutilia wasiwasi vipimo vya magonjwa mengine kama malaria MRD nk yeye anashupalia vipimo vya Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri waliotunga hiyo sheria hayo walikuwa hawayajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukosa ubunge ni aibu kubwa kwa mbunge ,inaonekana Mbunge hafuati kanuni zilizowekwa

Anawaabisha wapiga kura wake
Kwa akili zako wewe unafikiri kukosa ubunge ni jambo kubwa kuliko maisha?
Twambie wamevunja sheria gani usilete ukanjaja wako wa wizi wa mitihani hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jogoo linalowika nje ya Uzio haliwanyimi usingizi wenye nyumba.
Nawatakia Maji mitililika kwa sabuni, kujikinga na KORONA. Usinywe sanitaiza itakudhuru mwili na kukuvuruga kichwa. Nawe wacha kuwavuruga wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…