Tundu Lissu: Suala la Bandari halihitaji kuamuliwa na Mahakama za Sheria bali Mahakama za Umma. Gesi yote, Dhahabu yote na sasa Bandari vimekwenda!

Tundu Lissu: Suala la Bandari halihitaji kuamuliwa na Mahakama za Sheria bali Mahakama za Umma. Gesi yote, Dhahabu yote na sasa Bandari vimekwenda!

Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!

Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!

Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Mwabu yupo sahihi lazima uanzie huko ili utengeneze content
 
Sisi hatuna raha hiyo, nyie mnaokula cake ya taifa ndio mna vya kupoteza. Tuko tayari kuunga mkono mapinduzi ya kijeshi maana nao watakuwa watanzania, kisha walete katiba mpya itakayofuatwa na wote bila upendeleo.
Kwa nini mpaka usubiri wanajeshi wapindue? Hata wewe Tindo Unaweza tu kama una dhamira.

Lagangira aka Uncle Tom hakuwa Mwanajeshi lakini aliwatumia akina Capt Tamimu, Hanspope, Kadego kutaka kumpindua Nyerere.

Kama una akili ya kuweza kuibadili Tanzania toka hapa ilipo basi una uwezo wa kupindua. Kama unafikiri ni kazi ya wanajeshi basi jitambue huna uwezo wa kutawala nchi hii pia
 
Kwa nini mpaka usubiri wanajeshi wapindue? Hata wewe Tindo Unaweza tu kama una dhamira.

Lagangira aka Uncle Tom hakuwa Mwanajeshi lakini aliwatumia akina Capt Tamimu, Hanspope, Kadego kutaka kumpindua Nyerere.

Kama una akili ya kuweza kuibadili Tanzania toka hapa ilipo basi una uwezo wa kupindua. Kama unafikiri ni kazi ya wanajeshi basi jitambue huna uwezo wa kutawala nchi hii pia
Sitaki kuitawala hii Tanzania boss, lakini siko tayari kuongozwa na CCM.
 
Ndio wanamuunga mkono. Hutaki? Halafu muogope Mungu wewe jamaa. unamdhihaki vipi mtu aliyetendewa unyama namna ile na kusababishiwa ulemavu namna ile?
Yaani usomapo ujumbe huu UTUBU. Umenielewa wewe?
Namdhihaki kivipi wakati Zitto ndio alivyomuita?
 
Mbona hakulisema hili mapema? Angewapunguzia wenzake gharama zisizo na tija za kulipia kesi.

Turudi kwenye mada, kwahiyo tafsiri yake ni kuwa anaitisha political unrest sio? Natamani Mama Samia angekuwa kama JPM linapokuja suala la kudeal na hawa useless!!
 
Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!

Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!

Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Kama ulimshamgaa Mwambukusi kwenda mahakamani, kwanini wewe usianzishe hiyo njia sahihi? Unataka nani aianzishe hiyo njia sahihi kama sio wewe? Pumbavu!!!
 
Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!

Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!

Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Usimlaumu ,alikuwa anataka kuthibitisha kauli ya rostam azizi pengine
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu anesema angeshangaa Sana kama majaji wangeamua tofauti na walivyofanya leo kwani hawawezi kuukata mkono unaowalisha

Lisu amesema Mahakama ya sheria haiwezi kuamua Swala la Bandari bali ni lazima itumike Mahakama ya Umma yenye Majaji milioni 60 na ushee

Mlale Unono 😄😄
Tutapiga kura ya WAZI mabarabarani na Viwanjani tuone nani ataibuka mshindi.

HAKI imeibuka kidedea hata kabla ya mtanange.
 
Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!

Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!

Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Utamshangaa vipi Mwabukusi wakati anaijengea hoja kesi itakayoamuliwa na mahakama ya wananchi? Hii ilikuwa ni hatua muhimu sana kabla ya kuwafikia wenye mahakama yao.
Hukumu iliyotolewa ni kielelezo muhimu watakachotumia wananchi.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anesema angeshangaa Sana kama majaji wangeamua tofauti na walivyofanya leo kwani hawawezi kuukata mkono unaowalisha.

Lissu amesema Mahakama ya sheria haiwezi kuamua Swala la Bandari bali ni lazima itumike Mahakama ya Umma yenye Majaji milioni 60 na ushee.

Mlale Unono [emoji1][emoji1]
Angesema wkt bado hukumu haijatoka
 
Katika majaji million 60 majority wanasupport only minority ndio wanapiga kelele na sifa ya kelele ni kusikika hata kama ni watu wawili barabarani wakizipiga sana zitasikika tu.
Unajidunga sindano ya kuondoa maumivu, siyo?
Endelea hivyo hivyo, na kawaambie wenzako wote wasiwe na wasiwasi, kwani jibu unalo wewe!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anesema angeshangaa Sana kama majaji wangeamua tofauti na walivyofanya leo kwani hawawezi kuukata mkono unaowalisha.

Lissu amesema Mahakama ya sheria haiwezi kuamua Swala la Bandari bali ni lazima itumike Mahakama ya Umma yenye Majaji milioni 60 na ushee.

Mlale Unono [emoji1][emoji1]
Mkataba wa IGA, unasema hata Serikali ikibadilika au mahusiano ya kidiplomasia yakiharibika, hauvunjiki (Kifungu 23:4).

Tulibebe tu maana Mawakili wa Serikali wana uwezo wa juu sana wa kutetea uporaji wa rasmali za Taifa katika mahakama zetu na za nje, ambako Serikali hushindwa kesi.
 
Laana ni CCM

Ila siku yenu yaja...
It'll take years. We will reach there.
Ngumu sana.Hiki kikundi kimejiwekea mfumo mgumu sana kukiondoa.Hivi sasa wameingiza na dini fulani kwa hiyo hali ni tete zaidi.

Hapa ni Mungu tu ndiye anaweza kuingilia kati suala hili.Mungu hajawahi kutuangusha watanzania,kama kweli wamefanya kwa nia mbaya, watapigwa na kupigika tu
 
Tusipoteze muda na Tundu Lissu. Kwani nani kamuambia raia wote Milioni 60 hawataki DP WORLD? Yeye mwenyewe kaweka familia Belgium halafu anataka kushawishi watu wakinukishe.

Imeisha hiyo DP WORLD waje, wawekeze, tija ya TPA iongezeke ili kuwe na efficiency kwenye SGR yetu.

Usimtupie jiwe kila mbwa unayekutana naye, utapoteza malengo
NBC BANK kuna tija gani?
 
Back
Top Bottom