mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Lissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho