Kulikuwa na Barter Trade exchange for goods.Kwa hiyo hata zama za mawe za kale walitegemea hela kuliko nyama na matunda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa na Barter Trade exchange for goods.Kwa hiyo hata zama za mawe za kale walitegemea hela kuliko nyama na matunda?
The root of all evil.Hela ni nini?
Nataka nione neno hela hapo.Kulikuwa na Barter Trade exchange for goods.
Mbowe NI mtoto wa mjini. Anatumia chadema kuendeleza mambo yake binafsi tofauti na Lissu mtetezi wa rasilimali za nchiPesa sio kila kitu!, kuna watu wanatafuta uongozi ili kupiga pesa, na kuna watu wanatafuta uongozi ili wawatumikie watu.
Wale wanaotafuta uongozi ili kupiga pesa, kwao fedha ndio kila kitu, watatumia fedha kufanya kila kitu!.
Ila wale viongozi watumishi wa watu, pesa kwao is nothing!, Lissu ameacha madola na ma euro mangapi kule Belgium na kurudi nyumbani kula vumbi?.
Merry Chritmas
P
Hela ni takataka fulani iliandaliwa na mzungu mmoja kutoka mashariki ya mbali kwa lengo la kuweka utofauti Kati ya mafala na mabingwaNdugu zangu nisaidieni, hela ni nini?
Yesu alikuwa hana haja na hela hadi akatundikwa msalabani, basi kama Lissu naye hana shida ya hela avumilie maumivu kama Yesu asilalamike wenzake wanapopiga hela.Pesa sio kila kitu!, kuna watu wanatafuta uongozi ili kupiga pesa, na kuna watu wanatafuta uongozi ili wawatumikie watu.
Wale wanaotafuta uongozi ili kupiga pesa, kwao fedha ndio kila kitu, watatumia fedha kufanya kila kitu!.
Ila wale viongozi watumishi wa watu, pesa kwao is nothing!, Lissu ameacha madola na ma euro mangapi kule Belgium na kurudi nyumbani kula vumbi?.
Merry Chritmas
P
Lakini tunawaona pia watu wana hela mingi kabisa lakini bado wanahangaika tu na mastress mengi kichwani na magonjwa mengi kabisa tena yale magonjwa yanaitwa sugu mwilini 😳🙄!Lissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
1. Unataka kutuaminisha kuwa pesa ni kila kitu?Lissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
Wewe ni mjinga Sana ujueLissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
Correct !Pesa sio kila kitu!, kuna watu wanatafuta uongozi ili kupiga pesa, na kuna watu wanatafuta uongozi ili wawatumikie watu.
Wale wanaotafuta uongozi ili kupiga pesa, kwao fedha ndio kila kitu, watatumia fedha kufanya kila kitu!.
Ila wale viongozi watumishi wa watu, pesa kwao is nothing!, Lissu ameacha madola na ma euro mangapi kule Belgium na kurudi nyumbani kula vumbi?.
Merry Chritmas
P
Yaani Mbowe ana hela hadi Lisu amtetemekee, ni hela gani hizo anazo boss? Ulivyoongea ni kama vile Mbowe ana hela kuliko Mo. Ni hivi, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita, kama ana hela akaanzishe bank.Lissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
Kila mtu ana yale anayoyaamini na ndio huwa furaha yake mahali ilipo kama akiyafanikisha !!Muache apambanie kile anachokiamini .
Kumtoa mbowe ni kuitoa CCM kitu ambacho hakiwezekaniShangaa. Mbowe hataki kuachia chama kwa sababu anajua hela ziko hapo, kwa nini Mbowe asitoke aende kwenye biashara anazosema anazo hadi nje ya nchi?
Pesa Tanzania iko kwenye siasa.
Hela huwahazitoshi mbowe anatumia hela zake kujiimarisha madarakaniYaani Mbowe ana hela hadi Lisu amtetemekee, ni hela gani hizo anazo boss? Ulivyoongea ni kama vile Mbowe ana hela kuliko Mo. Ni hivi, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umeshapita, kama ana hela akaanzishe bank.
Unamshauri Lisu atafute pesa aachane na siasa, ila Mbowe unasema ana hela lakini humshauri aachane na siasa! Maajabu haya.
Duh 🙄 !Kumtoa mbowe ni kuitoa CCM kitu ambacho hakiwezekani
Atafute pesa ila huja sema kivipi ujue zipo hata za mauzo kwa mboga mboga?Lissu ama arudi kwenye harakati zake za NGO za kutetea mazingira au akubali kuwa chawa wa Mbowe. Huwezi kushindana na mtu mwenye hela.
Enzi za mkoloni na miaka ya 60 mpaka 70 Nyerere alikuwa akikwama anakwenda kukopa hela kwa mzee Aikaeli Mbowe.
Mbowe ni mtoto wa mjini, na ana pesa. Mbowe anaungwa mkono na ma CCM ambao wameshindikana kutolewa madarakani.
Wenzako kina Kibatara wanabadilisha magari wewe huna hata usafiri, mpaka uchangiwe.
Mwisho
pumbavu, hamuwezi kumpangia mtu interest. Hana hela lakini ana watu wa ku motive interest yakeUkweli mchungu.
Hawaoni wanaharakati wenzake kina Maria Sarungi wanapiga hela wakiwa nyuma ya komputa, yeye anakaribishwa Spaces kuwaponda kina Mbowe akizan fahari kumbe anajimaliza.