Tundu Lissu: Timu ya Ihefu ni ya Mwigulu, yeye Mwigulu alikana

Tundu Lissu: Timu ya Ihefu ni ya Mwigulu, yeye Mwigulu alikana

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
 
Binafsi naamini hela zinazotimika kununulia maproo wake zinatokana na tozo anazotulipisha wananchi kibabe. Maana hata mchangnuo wa matumizi yake, wengi hatuujui.
wa kunyumba mwigulu si ni ndugu yako katika imani ya utopolokwinho? si ni dhambi kumsema hadharani ndugu katika imani, munasemana katika vikao mweeeh
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Kama kwenye tamko la Mali na Madeni kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma hataijata IHEFU, basi TAKUKURU wachunguze. Yawezekana IHEFU pia ilipewa vibali vya kuagiza sukari
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Una uhakika anamiliki kwa kificho..?
Ushawahi kuona fomu yake ya mali za watumishi wa umma kama ameijaza hio team au lah..?
Msipende kubeba hear say alafu mnataka tufanye discussion.
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Mwiguru anaweza kija kuvunja record za upigaji katika hili Taifa, Muda utaongea.
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
madelu ni fisadi lililokubuhu nchi hii kwa sasa na amejikita mizizi haswa na hata mama chura hawezi kumng`oa kiukweli kwa jamaa tumechelwa kama taifa otherwise tufanye kama kenya
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Money Laundering
 
Back
Top Bottom