Tundu Lissu: Timu ya Ihefu ni ya Mwigulu, yeye Mwigulu alikana

Tundu Lissu: Timu ya Ihefu ni ya Mwigulu, yeye Mwigulu alikana

View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Ili kuigawia yanga point sita achukue ubingwa usisahau yeye ni mjumbe wa baraza la wadhamini wa yanga!
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Mwigulu analeta ushamba wake kwenye mpira msimu ujao ihefu itafungwa mechi zote mbili na Simba.

Anahakikisha Yanga inakuwa na matawi mengi ya kuchukulia points tatu lakini kwa aina ya usajili unaofanywa na Simba msimu huu lazima watie akili. Tutapambana na kila aina ya hujuma inayoelekezwa kwetu.
 
Wasaidizi wa Samia wanafanya ufisadi mkubwa wa pesa lakini kinachofanyika gizani kuna siku huanikwa juani.

Huu wizi utakuja tu kuanikwa mbele ya macho ya watanzania. Hakuna aijuaye kesho inafanana vipi.
 
View attachment 3033032

Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.

Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?

Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Vichwa vya treni vilikanwa.
Madeni yalikanwa.
Ni sawa tu.
 
Kabla ya mechi na yanga alienda kuitembelea, kocha wa Afrika kusini aliyekuwa kufundisha Singida big kabla ya kuuza anasema aliitwa na waziri wa fedha kitu aluchodai haijawahi kutokea kwenye kazi yake kuelekezwa namna ya kufanya.
Ameharibu ligi kwa kuvunja kanuni makusudi kwa kutoa wachezaji kwa mkopo kinyume na kanuni..
 
Back
Top Bottom