kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ili kuigawia yanga point sita achukue ubingwa usisahau yeye ni mjumbe wa baraza la wadhamini wa yanga!View attachment 3033032
Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.
Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?
Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Kuna kila dalili anafaidika nayoMikopo ya online ichunguzwe pia.
Namungo ya MajalawaDodoma Jiji ya ndugai.
mbeya city ya tulia
mashujaa ya mpango
πππππ
Mwigulu analeta ushamba wake kwenye mpira msimu ujao ihefu itafungwa mechi zote mbili na Simba.View attachment 3033032
Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.
Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?
Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Vichwa vya treni vilikanwa.View attachment 3033032
Wakati fulani Mwigulu Nchemba alikana kumiliki timu ya soka na kusema yeye hamiliki hata bajaji.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh.Lissu amemuumbua na kusema alikuwa anaimiliki Singida BS na kuiuza na sasa anamiliki Ihefu SC.
Wadau humu tumekuwa tunauliza, sio dhambi kumiliki mali lakini kwa nini umiliki kwa kificho kama kweli una vyanzo vya kumiliki mali?
Kwa nini anakuwa mmiliki wa timu kila anapopata uwaziri?
Yanga NI YA kikwete,Simba NI YA majaliwa na kagera sugar NI YA byabato na RweikizaDodoma Jiji ya ndugai.
mbeya city ya tulia
mashujaa ya mpango
πππππ
Namungo ya Majaliwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dodoma Jiji ya ndugai.
mbeya city ya tulia
mashujaa ya mpango
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo jamaa ni fisadi kabisaBinafsi naamini hela zinazotumika kununulia maproo wake zinatokana na tozo anazotulipisha wananchi kibabe. Maana hata mchangnuo wa matumizi yake, wengi hatuujui.
Kigamboni united FC ya tante mkuuCoastal Union ni ya Ummy
Majimaji nayo ni ya cocastic!
Mimi ni Africans sports ya Tanga bhana!! Yaani ikitoka hiyo, ndiyo kwa mbaali naishabikia Young Africans.Kigamboni united FC ya tante mkuu
Mbona umeiacha Namungo FC au unatolea kuchini.Dodoma Jiji ya ndugai.
mbeya city ya tulia
mashujaa ya mpango
πππππ
Dodoma ni ya Mazinde.