Hakuna mwenye tatizo hata Samia akiwa rais, tunataka rais atakayepatikana kwa uchaguzi wa haki. Ukiona mnaogopa chaguzi za haki, basi ujie huwa hamshindi kihalali.Huyu mbwatukaji wa hovyo sana, anafikiri baada ya hiyo miaka 2 rais atakuwa yeye? Samia yupooo!
Mtanzania wa kweli? Familia yake ni raia wa USA, yeye anaishi Ubeleji, utamwitaje Mtanzania wa kweli? Wewe na mimi wenye familia na ndugu zetu hapa tutaitwaje sasa?mtanzania wa kweli mzalendo aliyejitoa maisha yako kwaajili ya wananchi maskini
Kwani wananchi ndio wanaomchagua rais siku hizi?Yeye awambe wananchi wàsimchague Samia, sasa huyu wa 2025 atakuwa amebadilika nini 2027?
Uraia wa Tundu Lisu hauna mashaka yoyote, labda kwa nyie wafuasi wa siasa chafu. Na kuhusu familia yake kuishi US huo ni uamuzi wa familia. Hata sisi wengi ni kwakuwa hatuna connections za huko, ila tungekuwa nazo watoto wetu wangekuwa huko wakipata elimu bora.Mtanzania wa kweli? Familia yake ni raia wa USA, yeye anaishi Ubeleji, utamwitaje Mtanzania wa kweli? Wewe na mimi wenye familia na ndugu zetu hapa tutaitwaje sasa?
Aisee na mimi nimeona hii changamoto .zinakimbia chap .Hivi ni mimi tu nikiplay video inaenda haraka haraka au vp?au kuna hujuma
Nini kifanyike?Hayo mawazo ya kijinga sana yani umeshasikia Ngorongoro imeuzwa, Bandari ya DAR imeuzwa, Bandari ya Bagamoyo imeuzwa, ufisadi kila mahali fedha zinatoroshwa nje ya nchi, Bunge halitetea wananchi linatunga sheria mbovu za kuuza mali za tanganyika, alafu unasema waendelee kubaki madarakani kwa miaka mingine miwili? Tundu Lisu unaanza kuwapa mashaka watanzania unakuwa huna tofauti na mboe
Nini unataka kifanyike?Hayo mawazo ya kijinga sana yani umeshasikia Ngorongoro imeuzwa, Bandari ya DAR imeuzwa, Bandari ya Bagamoyo imeuzwa, ufisadi kila mahali fedha zinatoroshwa nje ya nchi, Bunge halitetea wananchi linatunga sheria mbovu za kuuza mali za tanganyika, alafu unasema waendelee kubaki madarakani kwa miaka mingine miwili? Tundu Lisu unaanza kuwapa mashaka watanzania unakuwa huna tofauti na mboe
Kwa hiyo Rais, wabunge ( pamoja na wakina Halima) na madiwani waliopo nao waongezewe muda? Kiinua mgongo cha wabunge nacho kiongezwe? Na muda gani utatosha kufanya hayo marekebisho anayotaka?Tundu Lissu: Tubadilishe tarehe ya Uchaguzi Mkuu kwa Miaka miwili ili tuwe na tume Huru.
View attachment 3237191
Waati akihutubia Maelfu ya Watu huko Mkoani Singida hii leo, amesema Uchaguzi uahirishwe.
Amesema kuliko kufanya Uchaguzi katika mazingira haya ya sasa, Bora tarehe ya Uchaguzi isogezwe mbele kwani tarehe zimepangwa na binadamu.
Amedai kwamba CCM wanadai muda hautoshi wa kupitia katiba na sheria, kanuni za tume huru ya Uchaguzi. Kakubaliana na hali hiyo, ila akapendekeza kwasababu hiyo, bora tarehe isigogezwe mbele lakini sheria ifanyiwe marekebisho.
Tundu Lissu kadai bila mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi hakutakuwa na Uchaguzi
View attachment 3237199
Pia Kohoji kwanini Mawakala wanaosimamia Uchaguzi wanaapa kwa Mkurugenzi kuficha siri, ni siri gani hiyo wanaoyoficha? Ya wizi wa kura?
Kasema hataki tena mambo ya kuapa kwa Mkurugenzi, Mambo ya Polisi kuingia vituo vya kupigia kura kwanini ndo wanaingiza kura feki
View attachment 3237163View attachment 3237164View attachment 3237165
ishu siyo UraisHuyu mbwatukaji wa hovyo sana, anafikiri baada ya hiyo miaka 2 rais atakuwa yeye? Samia yupooo!
Anataka Samia aendelee kuwa Rais huyu.Kwa hiyo Rais, wabunge ( pamoja na wakina Halima) na madiwani waliopo nao waongezewe muda? Kiinua mgongo cha wabunge nacho kiongezwe? Na muda gani utatosha kufanya hayo marekebisho anayotaka?
Halafu theluthi mbili za wabunge hawa wa sasa ndio wapitishe Katiba Mpya au mabadiliko yeyote ya Katiba iliyopo?
Au kuna njia nyingine ya kubadilisha Katiba bila kupeleka rasimu Bungeni?
Amandla...
Kwa hiyo Rais, wabunge ( pamoja na wakina Halima) na madiwani waliopo nao waongezewe muda? Kiinua mgongo cha wabunge nacho kiongezwe? Na muda gani utatosha kufanya hayo marekebisho anayotaka?
Halafu theluthi mbili za wabunge hawa wa sasa ndio wapitishe Katiba Mpya au mabadiliko yeyote ya Katiba iliyopo?
Au kuna njia nyingine ya kubadilisha Katiba bila kupeleka rasimu Bungeni?
Amandla...