Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.

FB_IMG_1674660678371.jpg

Toa Maoni yako.
 
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.

Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,

Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
 
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.

Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,

Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Katiba mpya ni lazima
 
Back
Top Bottom