Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Haya ya Marcus unaweza kutuwekea ushahidi wowote
 
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.

Kwa hiyo una maana ngoma droo? Au ulikuwa na maana gani ndugu?
 
Hii sauti ya Lissu, sijui kama ndiyo sauti ya Mwenyekiti wake.

Hebu vuta subira kidogo mkuu 'Erythro', tuone mambo yanakoelekea.

Sasa hivi bado kuna ukungu mwingi unaozuia kuiona sura halisi ya chama ilipo. Nina hakika haitachukua muda kujua sura yenyewe halisi ni ipi, na jinsi Lissu alivyo.....Aaaah, sijui tena!
Mbowe kishasema kwamba Yeye ataendelea na Mazungumzo , na hata Lissu kalisema hilo jana , lakini mazungumzo ya maridhiano hayazuii Chadema kusema Ukweli , wala hayazuii Chadema kudai Katiba Mpya
 
Mbowe kishasema kwamba Yeye ataendelea na Mazungumzo , na hata Lissu kalisema hilo jana , lakini mazungumzo ya maridhiano hayazuii Chadema kusema Ukweli , wala hayazuii Chadema kudai Katiba Mpya
Ni kama nilivyosema, mimi navuta subira tu.

'In fact', nilianza kitambo kuvuta subira, na kila siku inayopita nazidi kuuona mwanga juu ya CHADEMA (mpya).
 
Haya ya Marcus unaweza kutuwekea ushahidi wowote
Hata yeye aliwapuuza,kila mwizi wa siku hizi hukimbilia kuuliza ushahidi na kisha atakwambia nipeleke mahakamani.
Sababu anajua pesa itamuokoa!

Ushahidi ni Marcus Albanie,na imo humu thread yake na inasomeka!

Pia hata pesa za Sabodo,magazeti yaliandika sana.

Pesa za michango ya lazima toka Mishahara ya wabunge na Madiwani pia ushahidi upo humu na Media zote ziliandika!

Chadema hakuna msafi.

Mlinfilisi Lowassa na kisha mkamtupa,mkamuacha akidhalilishwa na kina Lema!

Toweni kibanzi kwenye macho yenu,kabla hamjaziona boriti kwenye macho ya wenzenu!
 
Kwa hiyo una maana ngoma droo? Au ulikuwa na maana gani ndugu?
Nina maana hata Chadema hakuna msafi,wote ni wasakaaisha tu.

Kina John Mrema walipiga pesa za Lowassa mpaka ikafika mahali wakawa wanasutana wao wenyewe huko Club House!
 
Hata yeye aliwapuuza,kila mwizi wa siku hizi hukimbilia kuuliza ushahidi na kisha atakwambia nipeleke mahakamani.
Sababu anajua pesa itamuokoa!

Ushahidi ni Marcus Albanie,na imo humu thread yake na inasomeka!

Pia hata pesa za Sabodo,magazeti yaliandika sana.

Pesa za michango ya lazima toka Mishahara ya wabunge na Madiwani pia ushahidi upo humu na Media zote ziliandika!

Chadema hakuna msafi.

Mlinfilisi Lowassa na kisha mkamtupa,mkamuacha akidhalilishwa na kina Lema!

Toweni kibanzi kwenye macho yenu,kabla hamjaziona boriti kwenye macho ya wenzenu!
kumbe huna ushahidi , endelea kutunga uongo
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Mwendazake na genge lake waliiba 1.5T
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Hivi zile sadaka tulizochangishwa kipondile Cha kuzindua kampeni kwenye uwanja wa mbagala zakem mapato yake na matumizi yake yako wapiii jamaaaniii??
 
Back
Top Bottom