Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Haya ndio yanayo waharibia leo hii ukimwambia mwananchi wa kawaida hakuelewi, watu wanataka maendeleo na maisha bora hicho ndio kitu wanacho kihitaji , ama sijui uzungumzie katiba hakuelewi maana katiba haimbadilishii maisha yake
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Hivi hizi ndinga ziliendaga wapi?
images (9).jpg
 
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.

Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,

Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Kwani kwa sasa tajiri akitaka ardhi anaikosa sababu ya maskini?
 
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Hiyo ni kazi ya polisi na pccb, kama hivyo vyombo ni vya wavivu usiwalaumu chadema, mhalifu ni mhalifu tu, hakuna nani wala nani.
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Haya mambo mbona mwenyekiti wako hana ujasiri wa kuyasema hadharani siku hizi?. Toeni majizi kwenye hilo genge lenu ndio muwe na legitimacy ya kukemea majizi waliopo kwenye vyama vingine.
 
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Hiki chama hopeless kabisa.
 
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.

Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,

Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Hapana. Nadhani hujaelewa au hujaunganisha vizuri yanayosemwa.

Kama rais ni mwizi, tena anayo mdaraka yote anayopewa na katiba, usalama wa ardhi hiyo upo wapi hapo?

Siyo lazima kufuata mfano mbovu wa Kenya kuhusu ardhi, lakini katiba inatakiwa kuwa wazi kuhusu ardhi kuwa mali ya nchi na kuweka utaratibu unaoeleweka katika matumizi yake bila ya kuigawa holela.
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Hii sauti ya Lissu, sijui kama ndiyo sauti ya Mwenyekiti wake.

Hebu vuta subira kidogo mkuu 'Erythro', tuone mambo yanakoelekea.

Sasa hivi bado kuna ukungu mwingi unaozuia kuiona sura halisi ya chama ilipo. Nina hakika haitachukua muda kujua sura yenyewe halisi ni ipi, na jinsi Lissu alivyo.....Aaaah, sijui tena!
 
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Kwa jinsi Lissu alivyo 'independent minded', naweza kumuondoa katika hitimisho unalofanya hapa, kwa sasa hivi.
 
Back
Top Bottom