Kweli KATIBA mpya ni lazima,Katiba mpya ni lazima
Bt Kwa maoni yangu Binafsi,
Rais apunguziwe mamlaka ktk mengi mfano, aondolewe Kinga ya kutoshtakiwa,
Bt ARDHI iachwe Kwa Rais Ili iwe salama!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli KATIBA mpya ni lazima,Katiba mpya ni lazima
Tutapambana kwenye kura ya maoniKweli KATIBA mpya ni lazima,
Bt Kwa maoni yangu Binafsi,
Rais apunguziwe mamlaka ktk mengi bt ARDHI iachwe Kwa Rais Ili iwe salama!!!
Kwa hiyo unakubali kuwa Marais wetu wote wameiba .....!!Mbowe mwenyewe analia mlivyomtapeli mabilioni yake hapo Ufipa st Kinondoni Shamba
Jikite kwenye madaLowasa aliibiwa na nani
My life my purposeMkapa ana kitabu kinaitwa MAISHA YANGU 🙂
YesMy life my purpose
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Haya ndio yanayo waharibia leo hii ukimwambia mwananchi wa kawaida hakuelewi, watu wanataka maendeleo na maisha bora hicho ndio kitu wanacho kihitaji , ama sijui uzungumzie katiba hakuelewi maana katiba haimbadilishii maisha yakeAkizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Hivi hizi ndinga ziliendaga wapi?Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Kwani kwa sasa tajiri akitaka ardhi anaikosa sababu ya maskini?Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.
Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,
Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Hiyo ni kazi ya polisi na pccb, kama hivyo vyombo ni vya wavivu usiwalaumu chadema, mhalifu ni mhalifu tu, hakuna nani wala nani.Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Haya mambo mbona mwenyekiti wako hana ujasiri wa kuyasema hadharani siku hizi?. Toeni majizi kwenye hilo genge lenu ndio muwe na legitimacy ya kukemea majizi waliopo kwenye vyama vingine.Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Hiki chama hopeless kabisa.Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Hapana. Nadhani hujaelewa au hujaunganisha vizuri yanayosemwa.Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.
Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,
Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Hii sauti ya Lissu, sijui kama ndiyo sauti ya Mwenyekiti wake.Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Kwa jinsi Lissu alivyo 'independent minded', naweza kumuondoa katika hitimisho unalofanya hapa, kwa sasa hivi.Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.
Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.
Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.
Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
Mwenyekiti alifanya yake!Hivi hizi ndinga ziliendaga wapi?View attachment 2496445