Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi

Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Ukiondoa mwalimu jk waliobaki wote ni majizi na ushahidi upo wazi
 
Lissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.

Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,

Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.

Kwanini tusiwe na katiba inayomtaka rais kulishirikisha bunge kuhusu maamuzi fulani kuhusu ardhi kuliko rais kuamua kwa utashi wake mwenyewe?
 
Kwanini tusiwe na katiba inayomtaka rais kulishirikisha bunge kuhusu maamuzi fulani kuhusu ardhi kuliko rais kuamua kwa utashi wake mwenyewe?
Huo ni mjadala mpana,

Tutajadili Kwa undani suala Hilo Rasimu zote zitakapowekwa mezani.

Jambo muhimu ni kushiriki ktk Kila hatua.
 
Hata Chadema mmekuwa na viongozi wezi,tena wasiotaka kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya Chama.

Ni juzi mmetoka kumfukuza mtunga sera mahiri Dk Marcus Albanie.

Kisa amehoji ubadhirifu unaofanyika kwenye matumizi ya fedha za chama,nje ya mfumo rasmi.

Lissu anapata wapi ujasiri huo,wakati siku hizi Chadema ndio mtetezi wa mafisadi nchini.
CCM haitetei mafisadi? Halafu kumbuka rais akiiba anaibia nchi nzima
 
CHADEMA hamchimbi visima

Kwa hiyo mlichofanya mlim bamboozle Sabodo mkapokea hela ya visima mkijua fika nyinyi si wachimba visima !
Chadema walimfilisi Lowassa mpaka akawakimbia!
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
mbonaa yeye kakimbia mume wake hajasema
 
Kwanini tusiwe na katiba inayomtaka rais kulishirikisha bunge kuhusu maamuzi fulani kuhusu ardhi kuliko rais kuamua kwa utashi wake mwenyewe?

..pia kiwepo kifungu cha kumshtaki Raisi ikiwa atavunja sheria.

..hivi tukiweka sheria kwamba mwanafunzi akiiba mtihani hatafutiwa matokeo tutakuwa na wanafunzi wa aina gani?

..Tumeweka kifungu kwamba Raisi hatashtakiwa, halafu tumemkabidhi mali za kila aina, tunatarajia nini?
 
Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.

Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.


Toa Maoni yako.
Hata yeye ni mwizi. Anadai stahili ambazo hakuzifanyia kazi.

Halafu alitutisha kushtakiwa MIGA baada ya kulipwa na wale alioenda kujificha kwao. Hii ni baada ya kulipwa pesa nyingi akaenda bungeni kupinga kukamata makinikia. Nani mjinga na mpumbavu anabisha hili kuwa Tundu Lissu ni mwizi
 
Hata yeye ni mwizi. Anadai stahili ambazo hakuzifanyia kazi.

Halafu alitutisha kushtakiwa MIGA baada ya kulipwa na wale alioenda kujificha kwao. Hii ni baada ya kulipwa pesa nyingi akaenda bungeni kupinga kukamata makinikia. Nani mjinga na mpumbavu anabisha hili kuwa Tundu Lissu ni mwizi
unaweza kujenga hoja bila kulia na ukaeleweka
 
Back
Top Bottom