Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
visima vya nini ?Pesa za kuchimba visima zilizotolewa Mzee Jaffar Sabodo kwa Chadema zilienda wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
visima vya nini ?Pesa za kuchimba visima zilizotolewa Mzee Jaffar Sabodo kwa Chadema zilienda wapi?
Kazi imeanza mkuu , Taarifa nilizonazo ni kwamba Chadema wanaanda ratiba ya mikutano ya hadhara ambayo itaishia Novemba 2025
Wewe acha kujishushia heshima!kumbe huna ushahidi , endelea kutunga uongo
Visima vya mafuta!visima vya nini ?
Unaijua maana ya Join the chain ?Pesa wanatoa wapi??
Sasa Chadema ni wachimba visima ?Visima vya mafuta!
Unaonekana kabisa unakwepa swali na kujidhihirisha ni genge la wezi ndani ya CHADEMA
Visima vya nini, kwani Tanzania vinachimbwa visima vya nini ?
Poleni sana , wasilianeni Katibu Mkuu wa ChademaHata sisi wavuvi tayari tumetapeliwa hizi pesa, CCM hawafai kabisa
View attachment 2496698
View attachment 2496699
CHADEMA hamchimbi visimaSasa Chadema ni wachimba visima ?
Makosa mawili hayahalalishi moja siyo?Nina maana hata Chadema hakuna msafi,wote ni wasakaaisha tu.
Kina John Mrema walipiga pesa za Lowassa mpaka ikafika mahali wakawa wanasutana wao wenyewe huko Club House!
una nyaraka yoyote ?CHADEMA hamchimbi visima
Kwa hiyo mlichofanya mlim bamboozle Sabodo mkapokea hela ya visima mkijua fika nyinyi si wachimba visima !
Haya mambo mbona mwenyekiti wako hana ujasiri wa kuyasema hadharani siku hizi?. Toeni majizi kwenye hilo genge lenu ndio muwe na legitimacy ya kukemea majizi waliopo kwenye vyama vingine.
Yaani sisi tukiuliza mapato na matumizi ya fedha zenu ambazo ni za uma, tunaonekana wakinga. Ila nyinyi kuuliza matumizi ya fedha za selikali ni welediiii.swali lako ni la kijinga
Watanzania lini wameanza kusoma vitabu?Akizungumza katika Mkutano wake wa kwanza wa Hadhara, Tangu arejee kutoka nje ya nchi alikokimbilia kunusuru Uhai wake, Lissu amedai kwamba Nchi ya Tanzania inaongozwa na Marais wezi.
Akikazia madai yake, amesema kwamba, kama kuna mtu anadhani anasema vibaya aende akasome Kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kinachoitwa "MAISHA YANGU" Ambapo ndani ya kitabu hicho ambacho Mwandishi ni Mkapa Mwenyewe anakiri kwamba WALIIBA DOLA mil 100 mwaka 2005 ili wapate pesa za kampeni za CCM.
Toa Maoni yako.
Ahahahahaha!visima vya nini ?
Ardhi ikiwa chini Ya Ràis ana uwezo wa kubatilisha hati yote Kwa maslah ya nchi.Kwani kwa sasa tajiri akitaka ardhi anaikosa sababu ya maskini?