Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kazi imeanzaHatari sana
Tuendelee kuelimisha zaidiHilo mbona liko wazi kbs!
Sasa bwashee kama nyie ni mijizi simpishe wenye uzalendo waongoze nchi.Unashangaa Wizi Tanganyika?
Sasa bwashee kama nyie ni mijizi simpishe wenye uzalendo waongoze nchi.
Mbowe mwenyewe analia mlivyomtapeli mabilioni yake hapo Ufipa st Kinondoni ShambaSasa bwashee kama nyie ni mijizi simpishe wenye uzalendo waongoze nchi.
Jikite kwenye madaMbowe mwenyewe analia mlivyomtapeli mabilioni yake hapo Ufipa st Kinondoni Shamba
Mada ni WiziJikite kwenye mada
sasa Mbowe kaibiwa wapi zaidi ya akaunti yake kuzuiwa na Katiri Jiwe ?Mada ni Wizi
Katiba mpya ni lazimaLissu: Katiba mbovu iliyopo imempa Rais mamlaka makubwa kiasi kwamba anaweza KUIUZA ardhi yetu na tusiwe na la kufanya.
Ingawa ktk hili suala la rdhi natofautiana na Lissu, ardhi kuwa chini ya Rais ni salama kuliko kuwa chini ya individuals,
Kenya MATAJIRI wameteka ardhi yote na wananchi maskini wanaangaika tu, wamekuwa watumwa ktk Nchi Yao wenyewe.
Kazi imeanza mkuu , Taarifa nilizonazo ni kwamba Chadema wanaanda ratiba ya mikutano ya hadhara ambayo itaishia Novemba 2025Lissu atawanyoosha.