Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mliozaliwa na mashoga mnajulikana.kwamba kutetea mtu au ndege mpaka ujue company law kweli ccm imejaza mabumunda na mashoga.
Mawazo yenu kishoga shoga tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliozaliwa na mashoga mnajulikana.kwamba kutetea mtu au ndege mpaka ujue company law kweli ccm imejaza mabumunda na mashoga.
Akitumwa sasaWatanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Itabidi nikukalishe darasa la miaka mitatu hadi upate LLB ya basics.Unajua sheria gani hizo?
Wewe ni mpumbavu, mada umeanza vizuri sana na idea ilikua nzuri ila kwa upumbavu wako umeiharibuKwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Kwa nn imekamatwa? Labda tuanzie hapo!Siyo mara kwanza ndege kukamatwa na kuachiwa, kwa nini hii haiachiwi?
Unajua sheria zipi?Itabidi nikukalishe darasa la miaka mitatu hadi upate LLB ya basics.
Kabla sijaanza kukufundisha, tafuta kwanza volume la English Law by Kenneth Smith/Denis Kenan upate vimbwanga vya Lord Denning.Unajua sheria zipi?
Lisu hawezi kuwasaidia watanzania?Kwa nn imekamatwa? Labda tuanzie hapo!
Kabla sijaanza kukufundisha, tafuta kwanza volume la English Law by Kenneth Smith/Denis Kenan upate vimbwanga vya Lord Denning.
Jisomee Law of Contract, Law of Torts na Law of Property.
Then, we can talk.
Hapo itakuwa rahisi kunielewa.
Siyi vitabu vya Juma Kaenda Shule hivyo!
- Mimi nataka unifundishe Law of Contract,
- hujui Sheria.
Wewe matako marinda wakutatue wengine makasiriko ulete kwangu,tamaa zako ndiyo zimekuponza hadi ukalawitiwa mtungoWewe itakuwa ni shoga la kiume bi dada wa kiume .walah..tena..wanaume hawawi hivi walah
Anzisha kesi na yeye kuhusu kampuni yako utajua kama hujui?.Mna mu overate Tundu Lissu kama mwanasheria. Huyu hajui Company Law, bali nimwanasheria wa haki za binadamu. Kuna vitu vya sheria TL hajui kabisa.
Akilipwa anayo haki ya kufanya hivyo kama mwanasheria binafsi, tatizo lako nini.Lisu anajua sheria za kutetea Acacia tu
Kwanini awamu ya 6 wasimtumie huyohuyo kabudi? Au ni marehemu kwa sasa?, Ninavyo fahamu Kuna ndege ilikamatwa tukalipa wakaiachiaWatanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.
Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Alishatumbuliwa kumpisha LisuKwanini awamu ya 6 wasimtumie huyohuyo kabudi? Au ni marehemu kwa sasa?, Ninavyo fahamu Kuna ndege ilikamatwa tukalipa wakaiachia
Kwa nini alipwe wakati alisoma kwa kodi za watanzania?Akilipwa anayo haki ya kufanya hivyo kama mwanasheria binafsi, tatizo lako nini.
Kwa hiyo wanasheria wote waliosoma kwa kodi za Watanzania wanafanya kazi ya serikali bure?.Kwa nini alipwe wakati alisoma kwa kodi za watanzania?