Tundu Lissu tumia ujuzi wako wa sheria ndege iliyokamatwa iachiwe

Tundu Lissu tumia ujuzi wako wa sheria ndege iliyokamatwa iachiwe

Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.

Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.

Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Akitumwa sasa
 
Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Wewe ni mpumbavu, mada umeanza vizuri sana na idea ilikua nzuri ila kwa upumbavu wako umeiharibu
 
Yule dogo ndio maana alivunjwa MAKONGORO.

Hanaga akili. Ni mtetezi wa MABEBERU.
 
Unajua sheria zipi?
Kabla sijaanza kukufundisha, tafuta kwanza volume la English Law by Kenneth Smith/Denis Kenan upate vimbwanga vya Lord Denning.
Jisomee Law of Contract, Law of Torts na Law of Property.
Then, we can talk.
Hapo itakuwa rahisi kunielewa.
 
Kabla sijaanza kukufundisha, tafuta kwanza volume la English Law by Kenneth Smith/Denis Kenan upate vimbwanga vya Lord Denning.
Jisomee Law of Contract, Law of Torts na Law of Property.
Then, we can talk.
Hapo itakuwa rahisi kunielewa.
  • Mimi nataka unifundishe Law of Contract,
  • hujui Sheria.
 
..kwasababu kesi imeendeshwa nje ya Tanzania basi wanasheria wa Tanzania iwe Lissu, Kibatala, Kabudi, Ackson, Mwakyembe, etc hawawezi kuwa mawakili wa utetezi.

..kesi ikiendeshwa nje ya nchi kwa mfano, Uingereza, Uholanzi, Afrika Kusini, etc ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali inalazimika kukodisha mawakili toka huko tunakoshtakiwa.
 
Watanzania hawana haja ya kuteseka kuhusiana na kukamatwa kwa ndege ya Air Tanzania ambayo imefikisha miezi 6 sasa bila kuachiwa kwani walitumia kodi zao kusomesha wasomi wazuri wa sheria wenye uwezo wa kutetea hadi makampuni ya nje kama Acacia akina Tundu Lisu na wenzake.

Kwenye awamu ya tano kila ndege inapokamatwa Rais Magufuli alikuwa anamtuma Prof Kabudi na ndege zilikuwa zinaachiwa kwa kasi ya ajabu ndani ya mwezi mmoja kwa kutumia ujuzi wake wa sheria aliosomea kwa kodi za watanzania, leo kwenye awamu ya sita Prof. Kabudi ametumbuliwa hayupo.

Kwa kuwa Chadema wameamua kulamba asali na kuungana na awamu ya 6 basi tunamuomba Rais Samia amtume Tundu Lisu aende akaikomboe hiyo ndege kwani uzalendo wa Lisu utapimwa kwa kuwatetea watanzania na siyo kutetea kampuni la Acacia.
Kwanini awamu ya 6 wasimtumie huyohuyo kabudi? Au ni marehemu kwa sasa?, Ninavyo fahamu Kuna ndege ilikamatwa tukalipa wakaiachia
 
Back
Top Bottom