Tundu Lissu: Tusaidie kisheria imekaaje hii

Tundu Lissu: Tusaidie kisheria imekaaje hii

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Zimenunuliwa ndege kwa mikataba ya kificho. Kuna na mikataba mingi tu imefanywa kwa kificho.
Hoja ya msaada wako ni hii:
1. Kwa sheria za kimataifa (maana za ndani haiwezekani) Mtanzania ambaye ana maslahi na pesa zinazotumiwa katika kununua ndege hizo, hawezi kufungua kesi/mashitaka katika mahakama za kimataifa kutaka kujua ndege zimenunuliwa kwa mkataba upi na kwa fedha kiasi gani? Makampuni yaliyotuuzia ndege hayawezi kubanwa kisheria kuweka wazi fdh ngapi imetumika?

2. Mtanzania mwenye maslahi (locus stand) hawezi kufungua kesi/mashitaka kutaka mikataba na nchi za nje za manunuzi and whatever iwekwe wazi?
 
Zimenunuliwa ndege kwa mikataba ya kificho. Kuna na mikataba mingi tu imefanywa kwa kificho.
Hoja ya msaada wako ni hii:
1. Kwa sheria za kimataifa (maana za ndani haiwezekani) Mtanzania ambaye ana maslahi na pesa zinazotumiwa katika kununua ndege hizo, hawezi kufungua kesi/mashitaka katika mahakama za kimataifa kutaka kujua ndege zimenunuliwa kwa mkataba upi na kwa fedha kiasi gani? Makampuni yaliyotuuzia ndege hayawezi kubanwa kisheria kuweka wazi fdh ngapi imetumika?

2. Mtanzania mwenye maslahi (locus stand) hawezi kufungua kesi/mashitaka kutaka mikataba na nchi za nje za manunuzi and whatever iwekwe wazi?
Kwani umeulizia gharama za ndege hizo ukafichwa?

Who is Lissu?

Kwani ndege ni za
Chagga Development Manifesto

Mbona Lissu hamuulizi Mbowe kuhusu matumizi ya Ruzuku ya ufipa na jinsi alivyojilipa kwa kukikopesha chama magari na vipaza sauti vya kampeni.

Pia amuulize matumizi ya bilioni moja na ushee za makato ya lazima toka kwa wabunge.

Achilia mbali zile pesa za wajerumani.
 
Tundu lisu ni nani kwenye nchi hii
Tundu Antiphas Mughwai Lissu is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010. He is also the former President of Tanganyika Law Society, the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA
 
Tundu Antiphas Mughwai Lissu is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010. He is also the former President of Tanganyika Law Society, the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA
Baadhi ya wasifu kwenye hiyo bio ume expire kwa mfano kusema ni MP kwa sasa si kweli bali ni Former MP
 
Tundu Antiphas Mughwai Lissu is a Tanzanian lawyer, CHADEMA politician and Member of Parliament for Singida East constituency since 2010. He is also the former President of Tanganyika Law Society, the bar association of Tanzania mainland, and Chief Legal Officer for Tanzanian opposition party CHADEMA
ASNTE Dinazarde, nimekupenda sana kwa jibu hilo. Mimi I jst ignored hia maana nilijua anakebehi! Jibu zuri!
 
Zimenunuliwa ndege kwa mikataba ya kificho. Kuna na mikataba mingi tu imefanywa kwa kificho.
Hoja ya msaada wako ni hii:
1. Kwa sheria za kimataifa (maana za ndani haiwezekani) Mtanzania ambaye ana maslahi na pesa zinazotumiwa katika kununua ndege hizo, hawezi kufungua kesi/mashitaka katika mahakama za kimataifa kutaka kujua ndege zimenunuliwa kwa mkataba upi na kwa fedha kiasi gani? Makampuni yaliyotuuzia ndege hayawezi kubanwa kisheria kuweka wazi fdh ngapi imetumika?

2. Mtanzania mwenye maslahi (locus stand) hawezi kufungua kesi/mashitaka kutaka mikataba na nchi za nje za manunuzi and whatever iwekwe wazi?
Tuna wanasheria wengi tu hapa nchini, sio lazima umpe usumbufu Mh Rais Tundu Lissu
 
Vijana wengi hawapendi kujifunza, na wanashabikia na kutetea wizi wa CCM, na hao mambumbu ndio mtaji wao
 
Tuna wanasheria wengi tu hapa nchini, sio lazima umpe usumbufu Mh Rais Tundu Lissu
so many, so many, I do agree....................competence is what matters not numbers! again you ought to meet the wrath of rulers once you attempt filling such a case from within
 
so many, so many, I do agree....................competence is what matters not numbers! again you ought to meet the wrath of rulers once you attempt filling such a case from within
Speaking of competence, there are more laywers outchea who are competent than Mr Lissu
 
Back
Top Bottom