Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Eti analeta mambo ya "hearsay" anafikiri yuko mahakamani hapo? mijitu miongo, minafiki na mizandik tu, hata uitie ndani ya chupa itachomoa kidole.

Lakini Faizafox......hebu tuwe waungwana basis kidogo name kuacha ushabiki wa vyama uliochnaganyikana name ka udini kwa mbaali. Kosa la Tundu, name iweje kama aliyoyapigia kelele na wanasiasa engine hayakuwa kweli iweje rais aridhie muswada kurudi bungeni? Unadhani ni kwa sababu ya issue ya Zanzibar tu? Name unafiki, uzandiki etc was Lissu ni kwa faida ipi hasa, kwani umaarufu wake umeanzia kwenye hii habari ya katiba?
 
Akili za Bavicha upeo wako ndiyo ulipoishia.

kichwa chako kimejaa kinyesi! Una dementia wewe nenda kwa FaizaFoxy akufanyie massage uanze kupata ndoto za mabikra wa peponi
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa Tundu Lissu huwa hakurupuki. unapotaka kumkosoa inabidi ujipange sana.
 
JK kaingia choo cha kike kwakweli kwa TL

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

Mnafiki nani? Kikwete, Tundu Lisu, au wewe? Acha upuuzi wako, katiba siyo mali ya Kikwete na familia yake na yeye ni mpita njia tu hivyo anatakiwa aonyeshe kweli ni dr na siyo kuleta mipasho ya kwenye taarabu! Tunahitaji katiba ya miaka mingi ijayo ambapo hata yeye hatakuwepo tena kwenye uso wa dunia hii! Hakuna mtu wala chama kitakacho tawala milele! No one needs sympathy from any body, if you think so then you must be out of your mind!!
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

Boko haram huna unalolijua zaidi ya kuua wanafunzi wasio na hatia Nigeria, kaa kimya wenye akili wakiwa wanaongea!
 
Last edited by a moderator:
Hotuba ya Lissu kwa waandishi wa habari imetulia sana,Hajalipiza matusi na mipasho kama ya JK,Hongera Lissu
 
Lakini Faizafox......hebu tuwe waungwana basis kidogo name kuacha ushabiki wa vyama uliochnaganyikana name ka udini kwa mbaali. Kosa la Tundu, name iweje kama aliyoyapigia kelele na wanasiasa engine hayakuwa kweli iweje rais aridhie muswada kurudi bungeni? Unadhani ni kwa sababu ya issue ya Zanzibar tu? Name unafiki, uzandiki etc was Lissu ni kwa faida ipi hasa, kwani umaarufu wake umeanzia kwenye hii habari ya katiba?

Kasomajr lissu kaitwa Mzandiki kwa kusema TEC na CCT walipeka majina lakini hawakuteuliwa kwenye tume ya Warioba,sasa tundu lissu(mzandiki) aseme ukweli wake ni kweli TEC na CCT haina wajumbe ndani ya Tume? Haya aliyasema mwenyewe Lissu(mzandiki) wakati anasoma maoni ya kamati ya upinzani sheria na utawala bora!! Asikimbilie hoja ya zanzibar,uzandiki wake upo kwenye suala la TEC na CCT
 
Katiba ya Tanzania inapaswa kujumuisha makundi yote tuepuke kuchukua mitazamo yenye mielekeo ya kichama.
 
kikwete hana ubavu wa kupambana na Lissu na hapo hakuna rangi ataacha kuona,bora amtake radhi ili yaishe.
 
Boko haram huna unalolijua zaidi ya kuua wanafunzi wasio na hatia Nigeria, kaa kimya wenye akili wakiwa wanaongea!

mkuu Boko haram maana yake Elimu ya Magharibi ni haramu, Physics, Chemistry, Computer, Law, Engineering, Medicine, accountancy, sociology etc. Pata picha unazungumza na kilaza wa namna gani!?
 
Last edited by a moderator:
Kasomajr lissu kaitwa Mzandiki kwa kusema TEC na CCT walipeka majina lakini hawakuteuliwa kwenye tume ya Warioba,sasa tundu lissu(mzandiki) aseme ukweli wake ni kweli TEC na CCT haina wajumbe ndani ya Tume? Haya aliyasema mwenyewe Lissu(mzandiki) wakati anasoma maoni ya kamati ya upinzani sheria na utawala bora!! Asikimbilie hoja ya zanzibar,uzandiki wake upo kwenye suala la TEC na CCT

Huna hoja wewe kama rais wako wa mipasho
 
kutohusishwa kwa TEC kumetolewa na padri Charles Kitima

Padri Charles Kitima alisoma bungeni kamati ya upinzani? Ilisomwa na Lissu(mzandiki) sasa Lissu yeye alijiridhisha ukweli huu kabla ya kusoma bungeni juu ya TEC na CCT? Na kama Pdri Kitima kasema ya TEC lissu(mzandiki) aseme ya CCT alisema nani kama sio yeye?
 
mkuu Boko haram maana yake Elimu ya Magharibi ni haramu, Physics, Chemistry, Computer, Law, Engineering, Medicine, accountancy, sociology etc. Pata picha unazungumza na kilaza wa namna gani!?


Mkuu Nyakageni ngoja nikae nae mbali asijejilipua mbele yangu sahizi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom