Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Lissu habari ya TEC na CCT izungumze vizuri lasivyo bado unaonekana ni Mzandiki!
 
Yaani Lisu kampiga za mbavu, jk anaugulia maumivu, ona kwenye hotuba yake kwa taifa!!!!!!!! viongozi wa bunge wanajitetea, mibunge ya Maccm inajitetea, mawaziri serikali nzima kila siku wanauza sura kwenye luninga kujitetea, mkuu wa nchi naye anajitetea.
Lissu nnkiboko.
 
Lissu anashindana na tembo...
 
KA-USHAURI KANGU KWAKO MH. Lisu, usibishane na mkuu wa kaya. Umeshamwonesha kuwa alidanganywa, sasa yeye aamue tu. Akiendelea kuwasikiliza wanaomzuga haikuhusu tena. Wewe sasa ng'ang'ania katiba mpya tu. Ndungai anajiandaa kukupinga kule mjengoni, jiulize utafanya nini kumhusu huyu ndungai kwani lazima akukomoe tu.
Kale ka simu kake alikokaficha chini ya makaratasi ya mezani ili asome meseji kutoka kwa huyo remote controla wake bado anako na bado atakatumia. Atakapo wapandisheni munkari anategemea hilo ili mtoke hayo Maccm yaupindishe tena je ukirudi na kusema hiyo ni faulo mkuu wa kaya atakusikiliza? Andaa mbinu mpya achana na kubishana na mkuu wa kaya. Ukimya si woga, ni busara pia.
 
Rais aliambiwa, hata aliyokuwa anasoma kaandikiwa. hana jipya!
 
Rais anawezaje kuongea maneno ya shombo kama yale jamani???yaani hata me siwez kumwambia mwanafunz wangu darasan MZANDIKI,,,,AAAAH
 
Unafiki na uzandiki maana yeke nini?......nijuavyo mnafiki ni mtu muongo anayechukua maneno huku na kuyapeleka huku,uzandiki sijui.......kumuita Tundu Lissu hayo majina sijui kama kweli mheshimiwa hapo kashauriwa vizuri,mwisho wa siku itakuja dhihirika Lissu alikuwa sahihi kama anavyojieleza sasa huko makao makuu ya CDM na Mh.Rais atabaki na soni,JK ana nia nzuri na katiba mpya lkn wenzake ndani ya chama hawana so asiwasikilize 100% maana hawana dhamira ya kweli,ngoja Tundu Lissu amalize press yake raia tuchuje,yupi mnafiki na mzandiki,Lissu au washauri wa Mh.Rais?
 
Nna ham ya kusikia siku bungeni wakiitana wazandiki,,,,sijui wataambiwa wazifute kauli???
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

Jitahidi unaposoma usome habari nzima maana ukichuka sehemu ya maneno kwenye habari utapoteza maana nzima na kutokufamu maana
 
Rais anawezaje kuongea maneno ya shombo kama yale jamani???yaani hata me siwez kumwambia mwanafunz wangu darasan MZANDIKI,,,,AAAAH

Hata mzazi wako anaweza kuwa mzandiki lazima Useme ukweli! Mzandiki ni mzandiki tu! Lissu ni mzandiki aseme wajumbe wa kutoka TEC au CCT wapo au hawapo kwenye tume ya Jaji Warioba
 
Rais Kalishwa Tango pori na waandaa hotuba
 
Lissu anashindana na tembo...

Kadanganya Watanzania juu ya Wajumbe wa kutoka TEC na CCT kuto kuteuliwa! Anakuja na ngonjela za Zanzibar! Alichosema JK Uzandiki wa Lissu ni kudanganya watu juu ya TEC na CCT aseme hapo
 
Back
Top Bottom