Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Lissu habari ya TEC na CCT izungumze vizuri lasivyo bado unaonekana ni Mzandiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.
Nilijua tu we ajuza TEC na CCT vingekuwasha.Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
Nilijua tu we ajuza TEC na CCT vingekuwasha.
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.
Rais anawezaje kuongea maneno ya shombo kama yale jamani???yaani hata me siwez kumwambia mwanafunz wangu darasan MZANDIKI,,,,AAAAH
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Lissu anashindana na tembo...
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Bavicha sounds...hivi TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?Naona unanjaa vipi unataka chakula gani? UMESHALIPIWA usiogope! sema tu, sisi huku tunawanunulia wote wenye njaa. HUKATWI!