Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

kichwa chako kimejaa kinyesi! Una dementia wewe nenda kwa FaizaFoxy akufanyie massage uanze kupata ndoto za mabikra wa peponi
Aaaaaa! Punguza hasira mpendwa jadili hoja
Lugha uliyoanza kuitumia ni kali mno !
 
Last edited by a moderator:
utafiti unaonyesha kwamba Tundu Lisu ndiye mwanasheria bora kabisa kupata kuwepo east and central africa .
 

Hoja ya nini kumjengea mtu muongo, mnafik, mzandik.
 

Rejea hotuba ya Kikwete, wacha porojo, mbona huulizi yaliosemwa ya TEC na CCT? au na wewe unauguwa ugonjwa wa Tundu?
 
Katiba majanga tu! Kila kitu majanga tu hakuna ata cha Maana!
 
Rejea hotuba ya Kikwete, wacha porojo, mbona huulizi yaliosemwa ya TEC na CCT? au na wewe unauguwa ugonjwa wa Tundu?
Porojo ni za nani kati ya "aliyeambiwa" na "aliyekuwepo"? Hapo wewe unamwimini aliyeambiwa halafu hakuchanganya na za kwake, pole FF.

Ndio maana wengine tuliikandia ile hotuba muda ule ule, ni porojo na hadithi za ki-CCM wakati wengine tuko very serious na mustakabali wa Tanzania na vizazi vijavyo vya watoto.

Nikuulize swali, kwa mujibu wa vijembe na mipasho lukuki ya JK (rejea hotuba husika) dhidi ya Upinzani na hasa CHADEMA (read Lissu) je ni kwa vipi alipenyeza "ushauri" wake kuwa ule muswada urudi Bungeni? Maana kama hakuona dosari za mchakato mzima je ni kwanini anaurudisha tena Bungeni?
 
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.


Unatumia maneno ya ngeseki ya baba yako,

Huyu Rais ni waajabu kweli kazi kila Cku kupanda ndege utazani hakuwahi kupanda kabla ya Kuwa Rais .
Eti Nimesikia, nimeambiwa, nimetaarifiwa , nasikia. Hopeless kabisa.
 
kwanini Rais hakuwataja wajumbe wa tume waliotoka TEC, CCT Walemavu na BAKWATA? ili tujue mwongo na mzandiki ni nani
 
Wanasema:"Ukiacha uongo usemwe sana, hubadilika na kuwa ukweli"

Lissu uko sahihi kufanya press na kujibu shutuma zilizoelekezwa kwako,jikite kwenye hoja,usifanye alichoambiwa yeye,linda taaluma yako, katiba itapatikana tu



In God we Trust:
 
Msitake kuzunguka nyie wajumbe wa TEC na CCT wapo au hawapo kwenye Tume ya Warioba?

je, waliopo ndio waliopendekezwa na taasisi husika? au yeye m/kt wa magamba alichagua wa kwake ili wamtumikie yeye na chama chake?, au ndio wale waliokuwa wakieneza propaganda 2005 wakati wa uchaguzi kuwa kikwete ni chaguo la mungu kama si shetani kawakumbuka? M/KT WA MAGAMBA HAAMINIKI KWA LOLOTE DHAIDI YA UMBEA TU
 
Rais kasema mswada urudi bungeni,hapa huyu Mzandiki anatafuta umaarufu tu binafsi

Kweli nimeamini Tundu Lissu amewashika pasiposhikika, yaani maCCM wote ndimi nje! Si mseme unafiki na uzandiki wake unatokea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…