Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Tundu Lissu: Uhusiano wangu na Mwenyekiti Mbowe siyo mzuri

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.

Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7
 
Anaongea sana. Halafu kachagua njia isiyoendana completely na ukweli. Siasa na ukweli ni kama maji na mafuta. Wakweli wote kwenye siasa walifeli vibaya.

Siasa inahitaji watu waongo waongo kama yeye mwenyewe Lisu alivyodanganya uma kwa kutangaza the list of shame halafu yeye huyohuyo akaja kumnadi yule aliyeuaminisha umma kuwa fisadi namba moja kuwa anafaa kuwa raisi wa nchi.

Wanasiasa wote ni walewale
 
Kama unafanya yasiyostahili huwezi kuelewana na mwenzio.
Sasa kama unamtuma Msigwa amtukane na kusema uongo unadhani mwenyekiti atafurahi ???
Sasa ndo tunaelewa kuwa kumbe Msigwa ndo wewe ulikuwa unamtuma kuongea hovyo ! Na ulikuwa ukim support ukiulizwa !
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Ofcourse utayumba baada ya kuongea sana. Asitegemee ukaribu
Price to pay ukiwa una expose watu
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Amesema uhusiano wao kwa sasa ni 'Civil' wewe hiyo ya 'siyo mzuri' umeitoa wapi?
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Kwenda nyumbani kwa Mbowe ni privilege sio haki yako Lissu na hao wenzako. Mahusiano yenu yanapaswa kuishia katika kazi za chama.

Kuhusu madai ya kushughulikiwa mnashughulikiwa vipi? Mnashitakiwa mahakamani au mtu akishindwa, uchaguzi lawama mnamtupia Mbowe?

Kwani hizo nafasi ni kitu cha kudumu kiasi wanachama wengine hawana haki ya kugombea?
 
Makamu mwenyekiti ambaye pia ni mgombea wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi ujao tarehe 21, January Bwana Tundu Antipas Lisu amefichua siri kuwa uhusiano wake na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe kuwa ni mbaya sana kiasi kwamba hawezi kwenda nyumbani kwa Mbowe akala na kunywa kwa uhuru kama zamani.
Bwana Lisu amebainisha kuwa hayo mahusiano mabaya hayajaishia kwake tu kwani hata viongozi wengine kama Peter Msigwa, Godbless Lema, John Heche mahusiano yao na Mbowe ni mabaya sana kiasi kwamba wamekuwa wakishughulikiwa mmoja baada ya mwingine hali iliyopelekea mch Msigwa kukimbia chama.


View: https://youtu.be/ecX9MBEE8y4?si=5tpMLBCrMM5Llyb7

Hili chama la hovyo kabisa, mpàngo wa shetani ibilisi.
 
Mtu akiongea once halafu watu wakatumia wiki waki nzima kila siku wanatoa kipande cha aliyoongea ndiyo kuongea sana?
Kwahiyo kumbe ni hotuba ile ile tu sio kingine?
Maana baada ya kutangaza nia, mara kesho yuko clouds mara ka tweet huko X, ndio kiongea sana huko nakosemea mimi
 
Kwahiyo kwasababu mahusiano Yako na MBOWE kuwa sio maZuri ndio maana uamattack kwa tuhuma za uongo
 
Back
Top Bottom