GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo umetoka nchini Ubelgiji (Ulaya) kuja (kurejea) Tanzania kuzungumzia Bei ya Nyama kuwa sawa na ya Maharage?
Kama wanasiasa wa Upinzani mpo this low ni bora tu GENTAMYCINE na Watanzania wenye akili tuendelee kuipigia kura CCM na CCM iendelee kutawala kama siyo kututawala milele!
I'm very disappointed, kwani nilidhani unarejea rasmi Tanzania na Agenda zako Kuu kuwa ni Katiba Mpya, Haki za Binadamu, Utekwaji na Mauwaji ya Watanzania, Huduma mbaya za Kiafya/Afya, Elimu yetu iliyoko ICU kwa sasa na Ujinga miongoni mwa Watanzania wengi (siyo wote), wewe unarudi na mambo ya Nyama na Maharage? au ulivimisi mno ulikokuwa huko Ulaya (Ubelgiji) na Marekani?
Kama wanasiasa wa Upinzani mpo this low ni bora tu GENTAMYCINE na Watanzania wenye akili tuendelee kuipigia kura CCM na CCM iendelee kutawala kama siyo kututawala milele!
I'm very disappointed, kwani nilidhani unarejea rasmi Tanzania na Agenda zako Kuu kuwa ni Katiba Mpya, Haki za Binadamu, Utekwaji na Mauwaji ya Watanzania, Huduma mbaya za Kiafya/Afya, Elimu yetu iliyoko ICU kwa sasa na Ujinga miongoni mwa Watanzania wengi (siyo wote), wewe unarudi na mambo ya Nyama na Maharage? au ulivimisi mno ulikokuwa huko Ulaya (Ubelgiji) na Marekani?