Tundu Lissu: Usalama wa taifa(TISS), hawana mamlaka kisheria kukamata wanaopinga au kukosoa serikali

Tundu Lissu: Usalama wa taifa(TISS), hawana mamlaka kisheria kukamata wanaopinga au kukosoa serikali

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Msikilize Lissu akitoa elimu ya uraia, kumbe usalama wa taifa (TISS) hawana mamlaka ya kamata-kamata wakosoaji au wanaopinga serikali. Lissu anadai sheria iliyoandikwa na bunge kuanzisha TISS imeelekeza hivyo, sijui kwanini vongozi wetu walituficha suala hilo muda wote huu.

 
Msikilize Lissu akitoa elimu ya uraia, kumbe usalama wa taifa (TISS) hawana mamlaka ya kamata-kamata wakosoaji au wanaopinga serikali. Lissu anadai sheria iliyoandikwa na bunge kuanzisha TISS imeelekeza hivyo, sijui kwanini vongozi wetu walituficha suala hilo muda wote huu.

Ukisema hivyo ni kama vile kuna jeshi ndio lina kibali kisheria kukamata wakosoaji wa serikali. Hakuna jipya alilosema hapo ndugu yetu Tundu Lissu.

Iko hivi, askari wote ni kama mimi na wewe, wanaweza kutii amri isiyo halali kulinda vibarua vyao. Lazima kuwe na taasisi imara zinazoweza kulinda yeyote sheria ikichezewa.

Unfortunately, hili litawezekana pale CCM watapogundua muda wao kutawala upo ukingoni penda wasipende! Pale tutapokuja kuwa na wapinzani halisi na si mapandikizi ya watu!
 
Ukisema hivyo ni kama vile kuna jeshi ndio lina kibali kisheria kukamata wakosoaji wa serikali. Hakuna jipya alilosema hapo ndugu yetu Tundu Lissu.

Iko hivi, askari wote ni kama mimi na wewe, wanaweza kutii amri isiyo halali kulinda vibarua vyao. Lazima kuwe na taasisi imara zinazoweza kulinda yeyote sheria ikichezewa.

Unfortunately, hili litawezekana pale CCM watapogundua muda wao kutawala upo ukingoni penda wasipende! Pale tutapokuja kuwa na wapinzani halisi na si mapandikizi ya watu!
Kipenzi chako jiwe alikusudia kuua kabisa upinzani halisi.
 
Na kisheria ni jeshi la polisi tu ndio wenye uwezo to arrest na lazima wafuate arresting procedures
 
Msikilize Lissu akitoa elimu ya uraia, kumbe usalama wa taifa (TISS) hawana mamlaka ya kamata-kamata wakosoaji au wanaopinga serikali. Lissu anadai sheria iliyoandikwa na bunge kuanzisha TISS imeelekeza hivyo, sijui kwanini vongozi wetu walituficha suala hilo muda wote huu.


HII NI KWELI.WANATAKIWA KUSIMAMIA MASLAHI YA TAIFA WALA SIYO KUEGEMEA CHAMA CHOCHOTE.
SIKU WAKISIMAMIA SHERIA NA NAFASI YAO,KUANZIA HAPO NCHI ITAENDELEA KWA KASI YA 4G!
 
Msikilize Lissu akitoa elimu ya uraia, kumbe usalama wa taifa (TISS) hawana mamlaka ya kamata-kamata wakosoaji au wanaopinga serikali. Lissu anadai sheria iliyoandikwa na bunge kuanzisha TISS imeelekeza hivyo, sijui kwanini vongozi wetu walituficha suala hilo muda wote huu.


sawa
 
Kwa nchi yetu hii ambayo katiba ni kwa ajili ya watu flani tu na wengine wana exception ya kuifuata unaweza kustuka uko fukwe ya ununio 😢
 
Ukisema hivyo ni kama vile kuna jeshi ndio lina kibali kisheria kukamata wakosoaji wa serikali. Hakuna jipya alilosema hapo ndugu yetu Tundu Lissu.

Iko hivi, askari wote ni kama mimi na wewe, wanaweza kutii amri isiyo halali kulinda vibarua vyao. Lazima kuwe na taasisi imara zinazoweza kulinda yeyote sheria ikichezewa.

Unfortunately, hili litawezekana pale CCM watapogundua muda wao kutawala upo ukingoni penda wasipende! Pale tutapokuja kuwa na wapinzani halisi na si mapandikizi ya watu!
..aliyoyasema sio mapya kwako, je umejiuliza ni mapya kwa Watanzania wangapi?

..ni kiongozi gani wa serikali, chama tawala, na hata upinzani amewahi kutamka hayo aliyoyasema Tundu Lissu kuhusu usalama wa taifa?

..kwenye kesi ya ugaidi / uhaini ya Freeman Mbowe tulimshuhudia Afande Kingai / DCI mtarajiwa akiwa mbumbumbu wa PGO.

..Kwa kigezo hicho kwanini tusiamini kwamba hata TISS hawajui sheria na mipaka ya kazi zao? Kwamba hiki anachosema Lissu ni kitu kipya masikioni kwao?
 
Back
Top Bottom