Uchaguzi 2020 Tundu Lissu vumilia, ''bado hujakomaa'', endelea kukitumikia chama achana na madaraka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu vumilia, ''bado hujakomaa'', endelea kukitumikia chama achana na madaraka

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
 
Siku moja tu baada ya Lisu kutumia masaa 4 akiwahutubia watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu wasiojulikana, kisha kukanyagwa kanyagwa na kuvunjwa mguu wa kulia bila mtoto wake James aliyekuwa ndani kusikia chochote ,badala yake akasikia Joyce Mkuya aliyekuwa umbali wa kilomita
5!!
Lengo la hili igizo ilikuwa ni kufunika habari ya Lisu kuandikwa na vyombo vya habari.

Kana kwamba haitoshi Mbowe baada tu ya kuruhusiwa kutoka hospitali ,huku akichechemea akatangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania!
Yani watanzania wakiwa na hamu ya kusikia report kutoka kwa Mbowe mwenyewe kwamba alivamiwaje, ilikuwaje ,badala ya kujibu hizo hoja ,yeye akaja na igizo jingine la kwamba kuna wazee wameenda nyumbani kwake kumshawishi awanie urais wa Tanzania!!.

Hivi Lisu unataka ufanyiwe nini ndiyo ujue kwa sasa hauhitajiki Chadema?
Haya maigizo ya mwenyekiti wako wa chama kufunika utangazaji wako nia hayajakuamsha tu?.

Shituka
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Mnaumizwa na demokrasia ndani ya chama kubwa chama pendwa LA watz
 
Siku moja tu baada ya Lisu kutumia masaa 4 akiwahutubia watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu wasiojulikana, kisha kukanyagwa kanyagwa na kuvunjwa mguu wa kulia bila mtoto wake James aliyekuwa ndani kusikia chochote ,badala yake akasikia Joyce Mkuya aliyekuwa umbali wa kilomita
5!!
Lengo la hili igizo ilikuwa ni kufunika habari ya Lisu kuandikwa na vyombo vya habari.

Kana kwamba haitoshi Mbowe baada tu ya kuruhusiwa kutoka hospitali ,huku akichechemea akatangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania!
Yani watanzania wakiwa na hamu ya kusikia report kutoka kwa Mbowe mwenyewe kwamba alivamiwaje, ilikuwaje ,badala ya kujibu hizo hoja ,yeye akaja na igizo jingine la kwamba kuna wazee wameenda nyumbani kwake kumshawishi awanie urais wa Tanzania!!.

Hivi Lisu unataka ufanyiwe nini ndiyo ujue kwa sasa hauhitajiki Chadema?
Haya maigizo ya mwenyekiti wako wa chama kufunika utangazaji wako nia hayajakuamsha tu?.

Shituka
Kwa propaganda hizi hamuwawezi chama kubwa kama Chadema, mjipange sana Tiss, polisi, mageteza PSU, jkt, jwtz, NEC, Takohuru. Msajiri.Ndo mtaoangusha CDM

Ndugai na bunge lake dhaifu kasanda game kaondoka kwa unyonge na aibu, kaliacha chama LA wana linazidi kuchanua
 
Kwa propaganda hizi hamuwawezi chama kubwa kama Chadema, mjipange sana Tiss, polisi, mageteza PSU, jkt, jwtz, NEC, Takohuru. Msajiri.Ndo mtaoangusha CDM

Ndugai na bunge lake dhaifu kasanda game kaondoka kwa unyonge na aibu, kaliacha chama LA wana linazidi kuchanua
Acha kutetemeka
 
Sijui hizo fomu ni 2 tu zilichapishwa au ngapi ila nadhani fomu nazo ni namna nyingine ya kupujipatia mapato hivyo watu wanavyokuja wengi mfuko si unatuna? Nasema, sielewi
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Wakudadavuwa hivi kweli CHADEMA wako radhi kumpitisha mgombea ambaye hawana hakika ya kurudi nchini kwa ajili ya kampeni? Nadhani huyo mnayemwita mwamba hajachukua fomu kwamba hamtaki TUNDU LISSU ila "IN CASE HE WON'T SHOW UP"
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...CHADEMA wanateseka sana.
 
Back
Top Bottom