Uchaguzi 2020 Tundu Lissu vumilia, ''bado hujakomaa'', endelea kukitumikia chama achana na madaraka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu vumilia, ''bado hujakomaa'', endelea kukitumikia chama achana na madaraka

Siku moja tu baada ya Lisu kutumia masaa 4 akiwahutubia watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu wasiojulikana, kisha kukanyagwa kanyagwa na kuvunjwa mguu wa kulia bila mtoto wake James aliyekuwa ndani kusikia chochote ,badala yake akasikia Joyce Mkuya aliyekuwa umbali wa kilomita
5!!
Lengo la hili igizo ilikuwa ni kufunika habari ya Lisu kuandikwa na vyombo vya habari.

Kana kwamba haitoshi Mbowe baada tu ya kuruhusiwa kutoka hospitali ,huku akichechemea akatangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania!
Yani watanzania wakiwa na hamu ya kusikia report kutoka kwa Mbowe mwenyewe kwamba alivamiwaje, ilikuwaje ,badala ya kujibu hizo hoja ,yeye akaja na igizo jingine la kwamba kuna wazee wameenda nyumbani kwake kumshawishi awanie urais wa Tanzania!!.

Hivi Lisu unataka ufanyiwe nini ndiyo ujue kwa sasa hauhitajiki Chadema?
Haya maigizo ya mwenyekiti wako wa chama kufunika utangazaji wako nia hayajakuamsha tu?.

Shituka
Kuongoza CHADEMA rahisi sana, chama cha maigizo.
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Duh...!,
Kaka Mkubwa Wakudadavuwa...,
Duh...!.
Haya!.
P
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Let us be fair, hivi magu anafanya nini ambalo Lisu hawezi kulifanya? Labda kuvunja sheria, katiba , kuua, kupoteza, kufunga etc! hayo yanaweza kuwashinda wengi, lkn kama siasa tu, kuwa rais, mbona Lisu yuko very fit! na hata Kingwendu anaweza!
 
Wakudadavuwa hivi kweli CHADEMA wako radhi kumpitisha mgombea ambaye hawana hakika ya kurudi nchini kwa ajili ya kampeni? Nadhani huyo mnayemwita mwamba hajachukua fomu kwamba hamtaki TUNDU LISSU ila "IN CASE HE WON'T SHOW UP"
Duh Nyalandu haaminiki?
 
Let us be fair, hivi magu anafanya nini ambalo Lisu hawezi kulifanya? Labda kuvunja sheria, katiba , kuua, kupoteza, kufunga etc! hayo yanaweza kuwashinda wengi, lkn kama siasa tu, kuwa rais, mbona Lisu yuko very fit! na hata Kingwendu anaweza!
Lissu aliyeshiriki kikao kuwafukuza wabunge CHADEMA bila kufuata katiba
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Danga sana dada ila hamchomoki lengo ni kuwaonyesha democracy tu basi huku siyo mtu akioteshwa kugombea anatekwa. Lissu lazima asagesage jiwe tutengeneze kokoto za kujenga nchi upya. Mpaka mnye hatuangalii pacemaker. Lazima jiwe lisagwesagwe au liwahi chattle
 
MaCCM yanahangaika, Mnamuogopa LISSU kupita kiwango cha kawaida. MWAMBA Mbowe anawapatia sana. Kamati kuu CHADEMA ITAMPITISHA LISSU. Mwaka huu kazi MNAYO, mtapiga pushapu mpaka MJINYEE majukwaani.
✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

#LISSURAIS2020
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Mnamwogopa sana Lissu nyie mataga, subirini.
 
Danga sana dada ila hamchomoki lengo ni kuwaonyesha democracy tu basi huku siyo mtu akioteshwa kugombea anatekwa. Lissu lazima asagesage jiwe tutengeneze kokoto za kujenga nchi upya. Mpaka mnye hatuangalii pacemaker. Lazima jiwe lisagwesagwe au liwahi chattle
Jikite kwenye hoja
 
MaCCM yanahangaika, Mnamuogopa LISSU kupita kiwango cha kawaida. MWAMBA Mbowe anawapatia sana. Kamati kuu CHADEMA ITAMPITISHA LISSU. Mwaka huu kazi MNAYO, mtapiga pushapu mpaka MJINYEE majukwaani.
[emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434]

#LISSURAIS2020
"mwamba tuvushe",Chadema bila Mbowe inakufa
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
Upo sahihi ingawa wewe ni CCM. Maskini TL huwa hajitambui
 
"mwamba tuvushe",Chadema bila Mbowe inakufa
Nchi hii kupambana na mchagga ni shida tupu, ni wajanja ndo maana mpaka sasa TLP bado ipo. Kama hunielewi muulize Mtungilehi aliyetaka kumpoka uenyekiti Mzee wa Kiraracha alivyofanywa hadi sasa analima mihogo kwao Kyerwa. Hakuna wa kumtingisha Mwamba cc kali KENYATTA
 
Kwa propaganda hizi hamuwawezi chama kubwa kama Chadema, mjipange sana Tiss, polisi, mageteza PSU, jkt, jwtz, NEC, Takohuru. Msajiri.Ndo mtaoangusha CDM

Ndugai na bunge lake dhaifu kasanda game kaondoka kwa unyonge na aibu, kaliacha chama LA wana linazidi kuchanua
Anafunga bunge anaanza stori alikuwa maskini,sisi inatuhusu nn mzee unataka huruma??..Tanzania hakuna tajiri story yake haijamstua mtu.
 
Kwa ninavyojua mihasira ya Lissu,dereva wake sasa atapatikana,ataongea kila kitu
Kama mbowe alivunjika mguu sababu ya konyagi,na kuutangazia ulimwengu kuwa kashambuliwa na wasiojulikana,hawa wasanii hawashindwi kumpiga risasi lissu nakutangaza kashambuliwa na wasiojulikana
 
Siku moja tu baada ya Lisu kutumia masaa 4 akiwahutubia watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu wasiojulikana, kisha kukanyagwa kanyagwa na kuvunjwa mguu wa kulia bila mtoto wake James aliyekuwa ndani kusikia chochote ,badala yake akasikia Joyce Mkuya aliyekuwa umbali wa kilomita
5!!
Lengo la hili igizo ilikuwa ni kufunika habari ya Lisu kuandikwa na vyombo vya habari.

Kana kwamba haitoshi Mbowe baada tu ya kuruhusiwa kutoka hospitali ,huku akichechemea akatangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania!
Yani watanzania wakiwa na hamu ya kusikia report kutoka kwa Mbowe mwenyewe kwamba alivamiwaje, ilikuwaje ,badala ya kujibu hizo hoja ,yeye akaja na igizo jingine la kwamba kuna wazee wameenda nyumbani kwake kumshawishi awanie urais wa Tanzania!!.

Hivi Lisu unataka ufanyiwe nini ndiyo ujue kwa sasa hauhitajiki Chadema?
Haya maigizo ya mwenyekiti wako wa chama kufunika utangazaji wako nia hayajakuamsha tu?.

Shituka
Sawa kabisa
Huo mchezo kumbe uliusoma jinsi chadema wanavyo chezeana gitaa

Neno la mwisho la msigwa ndio ulikuwa ukweli wa mambo
Kuwa walikuwa pamoja na mbowe na huo ndio game lilikuwa linapangwa mara naada ya lisu jioni yake kuongea kuhusu kugombea
 
Ndugu zangu,

Ghafla baada ya mwamba kujitosa, lile tangazo la Tundu Lissu kuomba michango ''kumsaidia kugombea urais'' limepotea. Tundu Lissu au wafuasi wake sio wajinga kwani sasa wanaelewa nini kinafuata. Zengwe lile lile lililowapata Zitto na Dr.Slaa ndilo linamwandama Tundu Lissu ambaye kwa sasa amepata mshituko.

Tundu na wafuasi wake wanajua hawawezi kuchuana na ''mwamba'' au mtu atakayependekezwa na ''mwamba'' (kumbuka Nyalandu yumo kwenye kinyang'anyiro).

Nini kitatokea, tutege sikio. Ila ninamshauri Tundu aache jazba, avumilie ili akomae ndani ya Chadema kwani bado ni ''mchanga'' ndani ya Chama.
eti Lissu ni mchanga ndani ya chadema kuliko Nyalandu
 
Back
Top Bottom