Pre GE2025 Tundu Lissu: Walimu wasifanye kazi ya kusimamia Uchaguzi

Pre GE2025 Tundu Lissu: Walimu wasifanye kazi ya kusimamia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Amri hiyo kabambe iliyojaa Ukakamavu imetolewa leo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu mjini Manyoni

Taarifa kamili hii hapa

Screenshot_2025-02-15-15-46-50-1.png
Screenshot_2025-02-15-15-46-54-1.png


UJUMBE-NO REFORM NO ELECTION
 
Lisu anaongea kimamlaka sana!na anajua hasa nini kinaendelea!yaani deep down ana baraka ya watanganyika waliopo CCM wanaohisi Sasa Mali zao zinauzwa na kizimkaz!

Tangu CCM ya mama iliposhindwa uchaguzi wa chadema Lisu kushinda ni dhahiri yeye ndio star wa siasa zetu!
 
Ana hio Mandate ? Au unamaanisha anashauri ?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Lisu ni muujiza unaotembea hata sisi CCM tunam admire kimya kimya!nani achukie ukweli wote asemao!!?anaebisha anabisha ukweli kuhusu maisha halisi ya mtz!
acha upotoshaji gentleman,

huyo ni kibaka anae omba kuchangiwa pocket money kila uchao na hiyo ndio agenda yake kuu ndani ya chadema :pedroP:
 
Back
Top Bottom