Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Kama m'beba maono pekee wa kizazi cha sasa cha Tanzania.Walimu wafanye kazi ya kufundisha tu, kazi ya uchaguzi sio yao haiwahusu.Anapiga marufuku yeye kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama m'beba maono pekee wa kizazi cha sasa cha Tanzania.Walimu wafanye kazi ya kufundisha tu, kazi ya uchaguzi sio yao haiwahusu.Anapiga marufuku yeye kama nani?
🤣🤣🤣🤣🤣sasa marupurupu watatoa wapi masikini wakati mshahara wao unaruhusu kula mlo mmoja tu kwa siku![]()
Imani huja kwa kusikia,watasikiaje wasipohutubiwa? Mt. Paulo.Kamanda, kama upo karibu na Mwenyekiti wako wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu, mwambie aje na mikakati ya kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa huru, wa haki na pia usio na wizi wa kura!
Kutoa matamko tu, tena yasiyo nguvu ya kisheria! haisaidii chochote! Hao walimu na watendaji wa Vijini/Kata, Bosi wao ni DED ambaye amepewa mamlaka na Tume ya uchaguzi kusimamia huo uchaguzi! Sasa katika hali ya kawaida, kuna mwalimu au mtendaji mwenye ujasiri wa kumkatalia Bosi wake akimu assign kazi ya kusimamia huo uchaguzi, na pia kuhakikisha ccm inashinda?
Anachotakiwa kufanya Kamanda Lissu kwa sasa ni kuangalia ni kwa namna gani serikali ya ccm itakubali uchaguzi kuwa huru na wa haki!! Na siyo kupiga tu kelele na kutoa matamko ya kufikirika. Watu wanataka vitendo! Na siyo maneno mengi.
NdioYupo sahihi kabisa
Hakika.Yupo sahihi kabisa
Nina mashaka na uraia wako. Unaonekana kama si mtanganyika. Ila mhamiaji haramu unayejificha kwenye chama cha machawa.gentleman,
huyo awababishe na kuwahaadaa ninyi wenyewe na unyumbu wenu, but kama taifa, kibaka hawezi kuskizwa ana puuzwa tu na mabo yanaisha![]()
kibaka ndie mwenye uraia wenye mashaka,Nina mashaka na uraia wako. Unaonekana kama si mtanganyika. Ila mhamiaji haramu unayejificha kwenye chama cha machawa.

Singida ipi unayo iongelea maana mimi nipo hapa! Dada mzima umbea tu.Singida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singida![]()
We pompoma toka huko kwenye shamba la alizeti uliko,wakati huku kunanyomiSingida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singida![]()
Jibu hoja punguza chuki na roho mbaya.
Ana kibali cha wanannchi wenye nnchi yaoAna hio Mandate ? Au unamaanisha anashauri ?
We jinga huo ndio ukweli, walimu ndio wanao isaidia CCMNaona amekula maharage yaliyoungwa na alizeti
Muone nini? ukisha ona what is next?
Kwani kuna mahali imeandikwa kwenye katiba au Sheria kwamba lazima walimu wasimamie uchagu?Anapiga marufuku yeye kama nani?
Mlete mama yako na dada zako wasimamieWe jinga huo ndio ukweli, walimu ndio wanao isaidia CCM