Basi waanze kuzichangamkia leo hiii.
..nakuunga mkono kwa asilimia 100%.
..vijana wahitimu elimu ya juu wachangamkie fursa zilizopo, na wasinyimwe fursa za kusimamia uchaguzi mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi waanze kuzichangamkia leo hiii.
Ajira hazipo dunia nzima🤣 wasipojiongeza watalala yooo
Lisu na Chadema Kura za walimu na familia zao nchi nzima hapati uchaguzi mkuusasa marupurupu watatoa wapi masikini wakati mshahara wao unaruhusu kula mlo mmoja tu kwa siku![]()
Kama hakuna sheria, ni kwa nini sasa hao Ma DED ndiyo wasimamizi wa uchaguzi?Hakuna sheria inayosema uchaguzi usimamiwe na DED.
Ahahahahaha!!!hapo unanipa kazi nyingine mkuu, we jua maafisa elimu walihusika, sasa sijui wa kata au wa halmshauri ila ninachojua walihusika katika kusimamia zoezi la sensa
Vipi DJ Mbowe amepotelea wapi?Usilie
Akili za kinyumbu hizi!!Hakuna sheria inayosema uchaguzi usimamiwe na DED.
No dual citizenship in oman citizenship law so she is TanzanianKwani kuna mahali imeandikwa kwenye katiba au Sheria kwamba lazima walimu wasimamie uchagu?
Ila mitanganyika mingi mipumbavu Sana ndio maana mnatawaliwa na raia wa Oman Tena mwanamke!!