The Coin Man
Senior Member
- Jan 2, 2025
- 156
- 167
ReformistAnapiga marufuku yeye kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ReformistAnapiga marufuku yeye kama nani?
Ndio wanasiasa walivyo ili waungwe mkono na wengi .hukikaa kimya bila hoja hailet mantiki .Ana hio Mandate ? Au unamaanisha anashauri ?
Mimi ni mwalimu ila wengi ni misukule wa ccm! Shenzi type! Ccm ni hovyo!Amri hiyo kabambe iliyojaa Ukakamavu imetolewa leo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu mjini Manyoni
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3237038View attachment 3237040
UJUMBE-NO REFORM NO ELECTION
Kamanda, kama upo karibu na Mwenyekiti wako wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu, mwambie aje na mikakati ya kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa huru, wa haki na pia usio na wizi wa kura!
Kutoa matamko tu, tena yasiyo nguvu ya kisheria! haisaidii chochote! Hao walimu na watendaji wa Vijini/Kata, Bosi wao ni DED ambaye amepewa mamlaka na Tume ya uchaguzi kusimamia huo uchaguzi! Sasa katika hali ya kawaida, kuna mwalimu au mtendaji mwenye ujasiri wa kumkatalia Bosi wake akimu assign kazi ya kusimamia huo uchaguzi, na pia kuhakikisha ccm inashinda?
Anachotakiwa kufanya Kamanda Lissu kwa sasa ni kuangalia ni kwa namna gani serikali ya ccm itakubali uchaguzi kuwa huru na wa haki!! Na siyo kupiga tu kelele na kutoa matamko ya kufikirika. Watu wanataka vitendo! Na siyo maneno mengi.
Unavyobugia wewe bangi, unadhani watu wote wapo hivyo? Watu wenye akili nzuri kama Lisu huwa hawagusi bangi. Mtu akiwa anabugia bangi anakuwa hana akili, sawa kama ulivyo wewe sasa hivi.Lisu apunguze kuvuta bange
Ninamshukuru sana Lissu kwa kauli zake za kihuni zinazoongeza kura za CCM kwenye uchaguzi. Naanza kuona Yericko Nyerere alikuwa sahihi kusema Lissu hafai hata kuongoza tawi la CHADEMA ngazi ya kitongoji.
Kwani ni mbali basiiii🤣 tusubiriLisu anaongea kimamlaka sana!na anajua hasa nini kinaendelea!yaani deep down ana baraka ya watanganyika waliopo CCM wanaohisi Sasa Mali zao zinauzwa na kizimkaz!
Tangu CCM ya mama iliposhindwa uchaguzi wa chadema Lisu kushinda ni dhahiri yeye ndio star wa siasa zetu!
..kuna vijana wengi wamehitimu elimu ya juu wako mitaani wanaweza kutumika kusimamia uchaguzi.
..waalimu wao tayari wana ajira, sio sahihi wawanyime nafasi vijana wenye uhitaji zaidi wa fursa za kusimamia uchaguzi.
Lakini Kusimamia uchaguzi siku 2 haifuti hali yao ya kukosa ajira
FUrsa ziko nyingi tu! Vijana tutafute fursa endelevu mitaani..lakini si haba.
..kuliko sasa hivi ambapo Waalimu wanawazibia fursa hiyo.
FUrsa ziko nyingi tu! Vijana tutafute fursa endelevu mitaani
Fursa ya siku 1 haibadilishi maisha ya ukosefu wa ajira......Hata kusimamia uchaguzi ni fursa ambayo vijana wahitimu elimu ya juu wanaistahili, na wanapaswa kuichangamkia.
Fursa ya siku 1 haibadilishi maisha ya ukosefu wa ajira....
..siku moja vs siku sifuri.
..hata wakati wakipewa mafunzo ya taratibu za uchaguzi wanaweza kupewa posho.
..kuwatumia waalimu kusimamia uchaguzi ni kuwazibia fursa wahitimu wa elimu ya juu ambao hawana ajira.
Wakitoka hapo uchaguzini wanatudi mtaani kulala?? Wachangamke fursa zipo za kutosha mitaani
Basi waanze kuzichangamkia leo hiii...baada ya kusimamia uchaguzi vijana wanaweza kuchangamkia fursa nyingine zitakazojitokeza.
..jambo la msingi ni kuhakikisha hatuwazibii fursa vijana wetu waliohitimu elimu ya juu.
Wakitoka hapo uchaguzini wanatudi mtaani kulala?? Wachangamke fursa zipo za kutosha mitaani
Ajira hazipo dunia nzima🤣 wasipojiongeza watalala yooo..tusiwalundikie fursa waalimu wakati kuna vijana wamehitimu lakini hawana ajira.