Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HayaNaona amekula maharage yaliyoungwa na alizeti
Kama Mwenyekiti wa ChademaAnapiga marufuku yeye kama nani?
Wadigo wana msemo wao maarufu...mrwagura koma macho khundu garicha.....Amri hiyo kabambe iliyojaa Ukakamavu imetolewa leo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu mjini Manyoni
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3237038View attachment 3237040
UJUMBE-NO REFORM NO ELECTION
Singida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singidaAmri hiyo kabambe iliyojaa Ukakamavu imetolewa leo na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu mjini Manyoni
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3237038View attachment 3237040
UJUMBE-NO REFORM NO ELECTION
Singida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singida
Singida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singida
wamejaa wapi na nipo hapa hakuna watu ni makelele ya maspika tu gentlemanOna hili punguani chawa. Watu wamejaa Ikungi, lenyewe linasema eti wananchi wamegoma!! Very stupidi.
Lisu ni muujiza unaotembea hata sisi CCM tunam admire kimya kimya!nani achukie ukweli wote asemao!!?anaebisha anabisha ukweli kuhusu maisha halisi ya mtz!Singida wamegoma kumpokea kibaka kwanini? kawafanya nini singida
nani atafuata maelekezo ya kibaka na tapeli wa kisiasa gentlemanJibu hoja punguza chuki na roho mbaya.
acha upotoshaji gentleman,Lisu ni muujiza unaotembea hata sisi CCM tunam admire kimya kimya!nani achukie ukweli wote asemao!!?anaebisha anabisha ukweli kuhusu maisha halisi ya mtz!
Jibu hoja mkuu, wewe ni mwizi na mnufaika wa Halmashauri zetu.nani atafuata maelekezo ya kibaka na tapeli wa kisiasa gentleman