Pre GE2025 Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)

Pre GE2025 Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hakika wewe ni Mtoto wa Shule, nachelea kusema huna uelewa wowote kuhusu uongozi hivyo naomba nikupe somo kidogo kuhusu uongozi.

Wanaoongozwa ndio wanatakiwa wamwamini kiongozi wao kwani ni wao, baada ya kuridhika na sifa zake na uwezo wake, walimkabidhi uongozi.
Ahahahahaha! Siku hizi kuna "Human Relations kind of leadership" sijui kama unailewa Mwalimu wangu wa uongozi! Ahahahahaha!!
 
Hivi mbowe akishindwa atakuwa na kazi gani tena ya kufanya chadema badala ya kwenda kulea wajukuu!
Mbowe sio mwenzako, si umeona mjengo ule? Biashara zake za Dubai na China unaweza ukajilinganisha nazo? Lissu mwenyewe amekiri juzi kuwa Mbowe alikuwa anakiazima hela chama, wewe unaweza?
 
Back
Top Bottom