Pre GE2025 Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ahahahahaha! Siku hizi kuna "Human Relations kind of leadership" sijui kama unailewa Mwalimu wangu wa uongozi! Ahahahahaha!!
 
Hivi mbowe akishindwa atakuwa na kazi gani tena ya kufanya chadema badala ya kwenda kulea wajukuu!
Mbowe sio mwenzako, si umeona mjengo ule? Biashara zake za Dubai na China unaweza ukajilinganisha nazo? Lissu mwenyewe amekiri juzi kuwa Mbowe alikuwa anakiazima hela chama, wewe unaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…