LGE2024 Tundu Lissu yuko sahihi, mfano Kilosa Kuna Vijiji 138 CHADEMA ina Wagombea 70, Kuna Vitongoji zaidi ya 800 CHADEMA ina Wagombea 200!

LGE2024 Tundu Lissu yuko sahihi, mfano Kilosa Kuna Vijiji 138 CHADEMA ina Wagombea 70, Kuna Vitongoji zaidi ya 800 CHADEMA ina Wagombea 200!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Moja ya Sifa kuu ya Tundu Lissu ni Mkweli

Alisema CHADEMA bado haijawa na Wagombea wa kutosha kuikabili CCM

Hiyo imejionesha kwenye wilaya karibu zote

Mfano mzuri ni Kilosa Vijiji 138 Chadema ina wagombea 70 tu

Vitongoji zaidi ya 800 lakini Chadema ina wagombea 200 na ushee tu

Safari bado ni ndefu 🐼
 
Moja ya Sifa kuu ya Tundu Lissu ni Mkweli

Alisema CHADEMA bado haijawa na Wagombea wa kutosha kuikabili CCM

Hiyo imejionesha kwenye wilaya karibu zote

Mfano mzuri ni Kilosa Vijiji 138 Chadema ina wagombea 70 tu

Vitongoji zaidi ya 800 lakini Chadema ina wagombea 200 na ushee tu

Safari bado ni ndefu 🐼

..Ccm inapokea ruzuku BILLIONI 3.2 kila mwezi.

..Cdm inapokea ruzuku chini ya milioni 5 kwa mwezi.

..pamoja na hali hiyo bado Ccm inataka kuengua wagombea wa Cdm.
 
..Ccm inapokea ruzuku BILLIONI 3.2 kila mwezi.

..Cdm inapokea ruzuku chini ya milioni 5 kwa mwezi.

..pamoja na hali hiyo bado Ccm inataka kuengua wagombea wa Cdm.
Ruzuku ya Chadema ni zaidi ya tsh 100mil kwa mwezi 🤣
 
..sio kweli.
Muulize Tundu Antipas Lisu maana ndiye aliyetoa ufafanuzi wa formula iliyowapa Chadema Wabunge 19 wa Viti Maalum na amount ya ruzuku ambayo ni zaidi ya tsh million 100 😄
 
Muulize Tundu Antipas Lisu maana ndiye aliyetoa ufafanuzi wa formula iliyowapa Chadema Wabunge 19 wa Viti Maalum na amount ya ruzuku ambayo ni zaidi ya tsh million 100 😄

..ok.

..Ccm 3200 mil.

..Cdm 100 mil.

..maana yake Ccm wakisimamisha wagombea 32, Cdm inaweza kusimamishwa mgombea 1.

..hata kama ulipata zero form 4 kama Mama Abduli utaelewa hisabati ndogo hapo juu.🤣
 
TUNDU LISSU - WALIOENGUA WAGOMBEA WA CHADEMA NI WAHUNI, HAWANA MAMLAKA HAYO KISHERIA

Tundu Lissu - Huwezi Kuwekewa Pingamizi na Mtu Asiye Mgombea,


Tundu Lissu achambua Maana ya zoezi hili la uteuzi 07 November 2024 lililofanywa na TAMISEMI


View: https://m.youtube.com/watch?v=nECJK6jR04Q

Majina yote yanatakiwa kwanza yawekwe katika ubao wa matangazo ili wagombea wawekewe pingamizi ikiwa lipo, na pia mkurugenzi au TAMISEMI haina mamlaka kisheria kuengua, kuweka pingamizi kwa wagombea asisitiza Tundu Lissu...

Sasa hawa wagombea wetu wamewekewa pingamizi na nani kwa siri kuu? ...

Akitoa semina elekezi wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, makamu mwenyekiti wa CHADEMA taifa bara Tundu Lissu amefafanua kuwa watendaji na wakurugenzi wote waliotangaza kuenguliwa wagombea ni wahuni wasiofuata sheria na kanuni...

Ni wagombea wa nafasi tu ndiyo wamepewa nguvu kisheria na kikanuni kwenda kuangalia majina ya walioteuliwa katika mbao za matangazo ndiyo wanaweza kuweka pingamizi

Kazi ya wakurugenzi na watendaji ni kubandika majina yote wa wagombea katika mbao za matangazo na kuachia wagombea kuwekeana pingamizi baina yao ..

Mkurugenzi au mtendaji hana mamlaka ya kutundika jina la fulani tu, bali analazimika kurmrundika majina yote bila kisingizio cha kuwepo kosa, wagombea ndiyo pekee wenye kuweza kuweka pingamizi .
 
Moja ya Sifa kuu ya Tundu Lissu ni Mkweli

Alisema CHADEMA bado haijawa na Wagombea wa kutosha kuikabili CCM

Hiyo imejionesha kwenye wilaya karibu zote

Mfano mzuri ni Kilosa Vijiji 138 Chadema ina wagombea 70 tu

Vitongoji zaidi ya 800 lakini Chadema ina wagombea 200 na ushee tu

Safari bado ni ndefu 🐼
Huu ndio utoto wa akili yako, au niuite uchizi.
Lissu huyo ndiye aliye sema hata hao wachache wa CHADEMA wanyimwe HAKI?
 
Watu wanatekwa na kuuawa hovyo, huku familia zao zikibaki na majonzi. Hivyo watu wameamua kukaa pembeni
 
Moja ya Sifa kuu ya Tundu Lissu ni Mkweli

Alisema CHADEMA bado haijawa na Wagombea wa kutosha kuikabili CCM

Hiyo imejionesha kwenye wilaya karibu zote

Mfano mzuri ni Kilosa Vijiji 138 Chadema ina wagombea 70 tu

Vitongoji zaidi ya 800 lakini Chadema ina wagombea 200 na ushee tu

Safari bado ni ndefu 🐼
Ina maana wengi wote wameenguliwa?
 
Hainaga mpinzani
Sasa kama tatizo ni kutokuwepo mpinzani wa CCM; una maana hata huko ndani ya CCM ndiyo wote muwe majuha wa kuendeshwa na hawa walio amua kulididimiza taifa hili?
Wote ndani ya CCM mnaburuzwa tu, kama misukule?
Nyinyi huko ndani ya CCM mnayo nafuu gani kuwazidi wapinzani na waTanzania wengine, kama wote si mateka tu kama wengine wote.
 
TUNDU LISSU - WALIOENGUA WAGOMBEA WA CHADEMA NI WAHUNI, HAWANA MAMLAKA HAYO KISHERIA

Tundu Lissu - Huwezi Kuwekewa Pingamizi na Mtu Asiye Mgombea,


Tundu Lissu achambua Maana ya zoezi hili la uteuzi 07 November 2024 lililofanywa na TAMISEMI

Nani ameweka pingamizi Kibamba Dar es Salaam kama siyo wahuni

Kibamba hapa Dar es Salaam wapo wagombea wetu CHADEMA (wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024) walioenguliwa sababu eti kwamba hana kazi ya kumpatia kipato halali, ni kwa sababu wameandika ni wajasiriamali sasa unajiuliza sijui walitaka watu wetu wadanganye kuwa ni wakulima ili mwisho wa siku waseme Dar es Salaam hakuna mashamba" -Mrema
 
..Ccm inapokea ruzuku BILLIONI 3.2 kila mwezi.

..Cdm inapokea ruzuku chini ya milioni 5 kwa mwezi.

..pamoja na hali hiyo bado Ccm inataka kuengua wagombea wa Cdm.
Hata kama CHADEMA wangekuwa na mabilioni ya pesa katika mazingira ya namna hii hiyo pesa isinge kuwa na maana yoyote.
 
Mkurugenzi au mtendaji hana mamlaka ya kutundika jina la fulani tu, bali analazimika kurmrundika majina yote bila kisingizio cha

Muhuni aliyeamua kuwawekea pingamizi na kuwaengua wagombea wa CHADEMA wakati mamlaka hayo hana.

Mkurugenzi alitakiwa kubandika majina yote ya wagombea kisha wagombea wenyewe wakawekeana pingamizi


View: https://m.youtube.com/watch?v=DN6xSGacp5I
 
Baadae utasikia hao viongozi wamepita kimchongo kumbe n wao wenyewe hawakupeleka wagombea 😂
 
Back
Top Bottom