LGE2024 Tundu Lissu yuko sahihi, mfano Kilosa Kuna Vijiji 138 CHADEMA ina Wagombea 70, Kuna Vitongoji zaidi ya 800 CHADEMA ina Wagombea 200!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
..Ccm inapokea ruzuku BILLIONI 3.2 kila mwezi.

..Cdm inapokea ruzuku chini ya milioni 5 kwa mwezi.

..pamoja na hali hiyo bado Ccm inataka kuengua wagombea wa Cdm.

CCM chama Cha kijinga sana
 

Mnaengua wagombea halafu mnaleta ngonjera
 

Hii sio haki kabisa
 

Ila ccm ni wahuni Sana. Wanaona nchi ni Mali yao
 

Tangu lini Jaji akasimamia kesi yake mwenyewe? Mchengerwa aache ujinga.
 

Mbabaishaji tu huyo mkurugenzi
 

Maigizo tu
 
Watu wanatekwa na kuuawa hovyo, huku familia zao zikibaki na majonzi. Hivyo watu wameamua kukaa pembeni
Katika hali ya sasa ya kisiasa, vyama vya upinzani havipaswi kulaumiwa au kuchekwa kwa kushindwa kuweka wagombea kila mahali ktk uchaguzi wa serikali za mitaa kwani gharama ni kubwa sana kulinganisha na uwezo wa vyama.
Malalamiko ambayo yanapaswa kushughulikiwa ni haya ya kuhusu kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani kwa upendeleo wa wagombea wa chama Tawala CCM.
Hapo tutakuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…