Tundu Lissu yupo Kenya kwa uzinduzi wa kitabu chake

Angezindulia the Hague
 
26 June 2021

ALICHOZUNGUMZA TUNDU LISU BAADA YA KUZINDUA KITABU CHAKE NCHINI KENYA

Tundu Lissu alipoulizwa Kuhusu utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan, mtanzania huyo aliye uhamishoni amesema serikali ya awamu ya sita chini ya Mh. rais Samia imeanza vizuri, ila ina kazi kubwa ya kuirejesha Tanzania katika mstari wake wa kujali uhuru, haki na demokrasia ulikuwapo kabla ya utawala wa Mh. Magufuli haujaingia madarakani
Nilitoroka tanzania kwa sababu kuna watu wakubwa walitaka nife, na watu hao hawajawahi kutajwa. Nimeomba kuzungumza na Mama na ninasubiri majibu, lakini sitangoja milele, kuna wakati utafika nitamwambia nakuja nyumbani. Tundu Lissu.
Source : WATETEZI TV
 
Kabisa pale Ni Mungu tu alifanya muujiza
 
Remaining in the Shadows – Parliament and Accountability in East Africa

Foreword
:

The timing of the publication of the book is critical in that it will fuel these current debates. His last sentence in the book is a clarion call for democratic action – β€œBut the bitter lessons of history should never be forgotten in the quest to construct a more workable democratic order.”

Dr. Willy Mutunga
Chief Justice & President of the Supreme Court
Republic of Kenya, 2011-2016
Nairobi
September 2020
 

RULE OF LAW PROGRAMME SUB-SAHARAN AFRICA (ANGLOPHONE COUNTRIES)

Home - Rule of Law Programme Sub-Saharan Africa (Anglophone Countries)



Book Launch in Nairobi, Kenya

Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa

By Tundu Lissu

In this book, Tundu Lissu traces historical journey from the early days of Parliamentarism during the time of colonialism to the current state of democracy in the three countries of East Africa namely, Kenya, Tanzania and Uganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…