Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani mnavyojipaga moyo eti mwaka huu mnaenda ikulu mnafikiri ni sokoni hapo walevi kama mbowe hawaingii hovyo mnajipa moyo mnajifariji huku mkijua kabisa kuwa hamendiTulieni dawa iwaingie vema kusudi mpone vichaa vyenu
Na waliokaa gerezani na hawakupata urais wapo wengi tu kuliko walioupata.
Isitoshe hizo zama za marais kutokea gerezani zimeisha,ndo maana aliowataja wote walifungwa 1960s au 70s huko tena colonial era!
sasa ni upendo gani aliowapandia wa tz hayo matusi anayotukana kila siku hebu ajaribu kuiga siasa kama za bwana mdogo lazaro nyarandu hivi ushawahi kumsikia anatukana huyu mtu? lakini huyu kingwendu wenu matusi kila siku halafu awe rais eti mnajipa moyo kweliAnavuna kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania maana alupanda upendo kwa watanzania
Kamfurahisha mama yako??Huyo mropokaji aendelee kujifurahisha
unajua hata watoto wenu wakisikia mnavyoongea watawaona wana wazazi mataahira kwelikweliLiwe jua iwe mvua watanzania tumesha amua kuwa Lissu ndiye chaguo letu
sasa ni upendo gani aliowapandia wa tz hayo matusi anayotukana kila siku hebu ajaribu kuiga siasa kama za bwana mdogo lazaro nyarandu hivi ushawahi kumsikia anatukana huyu mtu? lakini huyu kingwendu wenu matusi kila siku halafu awe rais eti mnajipa moyo kweli
Unayajua sana tu ila kipendacho hula nyama mbichi yani hapo hata uambiwe lissu kajinyea utasema kayakalia hajakunya yeyeHayo matusi unayajua wewe kwa kutumia dictionary ya lumumba.
mimisiyo katili sababu ninawatoto nataka waione tz yao ikinawiri chini ya jpm huyo lissu atakuja kutubadirishia chi yetu iwe ya kishoga maana ndiyo wafadhiri wake na hilo mtabisha wakati kila siku tunamuona nao wanapiga pichaNadhani wewe hata mtoto huna ndiyo maana una mawazo ya kikatili
Wala hao hawakuwa mawakala wa ndoa za jinsia mojaMwenye Lana ni wewe
The fact is hao anaojilinganisha nao wako completely the opposite of him.Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa watanzania. View attachment 1486565
hapo ndipo walipojichanganya kama walikuwa na nia ya kumpa lissu agombee mbowe ainge tia nia maana ni aibu kumkata mwenyekiti kama anataka kugombea lissu imekula kwake
Moto wa uwenyekiti tu (aka FARU JOHN) ulimshinda, ndo atauweza wa CHUMA aka JIWE?Hizi cheap propaganda za lumumba hazitasaidia chochote kuikoa ccm dhidi ya moto wa mh Lissu kuchukua kijiti cha kuwaongoza watanzania.
Labda CHADEMA ndo mmeamua awe chaguo lenu.Liwe jua iwe mvua watanzania tumesha amua kuwa Lissu ndiye chaguo letu