Uchaguzi 2020 Tundu Lissu yupo tayari kwa urais wa Tanzania, hatanii

Karibu Sisi tunaamini nchi imevamiwa na mamruki, hata wanaoongoza hawajiamini make vitisho vimezidi. wangekuwa wameongoza vyema wasingekuwa na vitisho, kwani Kazi yao ndo ingekuwa kick. Kwasababu ya hofu ndo maana wanazuia mikiutano ya wapinzani na kutunga sheria zinazokinzana na haki za binadamu.
Liwe jua au mvua iko siku hawa maharamia watapelekwa mahakama za kiuharifu.
 
Hii ni kufuru ya hali ya juu sana, kweli unaweza kumlinganisha huyu "diaspora" na hao VIGOGO WA AFRIKA? Jamani mbona hivi, haya ni matokeo ya mapenzi na ni ushabiki ulikothiri au extremism!
 
Yaani CHADEMA imegeuka kuwa group fulani la wajinga hivi.Kweli unaweza kumlinganisha huyo mpumbavu hapo juu na akina Kenyatta na Castro?
 
Mpumbavu ni wewe na ukoo wako wote
Yaani CHADEMA imegeuka kuwa group fulani la wajinga hivi.Kweli unaweza kumlinganisha huyo mpumbavu hapo juu na akina Kenyatta na Castro?
 
Naona umesahau kuwa hata nyinyi mnafanya kufuru kwa kumlinganisha Jiwe na yesu
Hii ni kufuru ya hali ya juu sana, kweli unaweza kumlinganisha huyu "diaspora" na hao VIGOGO WA AFRIKA? Jamani mbona hivi, haya ni matokeo ya mapenzi na ni ushabiki ulikothiri au extremism!
 
Umeonaeeeee? Hawa jamaa wanajisafishia njia ya kuelekea Uholanzi
 
Kesi kwa siasa za Tanzania zilivyo ni moja ya maisha ya viongozi wa upinzani
Na hapo ndio penye ugumu kwa Tundu Lissu kusimama kama mgombea urais 2020, CDM wasome alama za nyakati. Kuna kila dalili kwamba kama watamsimamisha Lissu basi wanaweza kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na mgombea wa urais.
 
Cdm wana fikiria km 1000 zaidi ya tunavyo fikiria
Na hapo ndio penye ugumu kwa Tundu Lissu kusimama kama mgombea urais 2020, CDM wasome alama za nyakati. Kuna kila dalili kwamba kama watamsimamisha Lissu basi wanaweza kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na mgombea wa urais.
 
Kwani Mwalimu Nyerere anagombea urais na Lisu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…