Kila mtu ana kura 1 tu....Watanzania
Hii ni kufuru ya hali ya juu sana, kweli unaweza kumlinganisha huyu "diaspora" na hao VIGOGO WA AFRIKA? Jamani mbona hivi, haya ni matokeo ya mapenzi na ni ushabiki ulikothiri au extremism!Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
Ndio anavokudanganya pole sana, ukija kujua utajichekaHAAA
haaaaa ushaona anashobokea misaada ya hao mashoga ? hanampango nao kabisa endeleeni tu hapa hampati kitu
Yaani CHADEMA imegeuka kuwa group fulani la wajinga hivi.Kweli unaweza kumlinganisha huyo mpumbavu hapo juu na akina Kenyatta na Castro?Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
View attachment 1487738 Mkuu mimi si mpiga ramli, bali ni miongoni mwa wafuatiliaji wa mambo yanayoendelea nchini, hasa kwa awamu hii.
Hii ni kufuru ya hali ya juu sana, kweli unaweza kumlinganisha huyu "diaspora" na hao VIGOGO WA AFRIKA? Jamani mbona hivi, haya ni matokeo ya mapenzi na ni ushabiki ulikothiri au extremism!
OkayUtajulishwa
Karibu Sisi tunaamini nchi imevamiwa na mamruki, hata wanaoongoza hawajiamini make vitisho vimezidi. wangekuwa wameongoza vyema wasingekuwa na vitisho, kwani Kazi yao ndo ingekuwa kick. Kwasababu ya hofu ndo maana wanazuia mikiutano ya wapinzani na kutunga sheria zinazokinzana na haki za binadamu.
Liwe jua au mvua iko siku hawa maharamia watapelekwa mahakama za kiuharifu.
Wanaofanya ulinganifu huo ni WACHUMIA TUMBO, WATAFUTA TONGE. Mtu mwenye kumjua Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth, Aliye Hai, hawezi kufanya au kusema UPUUZI HUO ndugu Mmawia!Naona umesahau kuwa hata nyinyi mnafanya kufuru kwa kumlinganisha Jiwe na yesu
Na hapo ndio penye ugumu kwa Tundu Lissu kusimama kama mgombea urais 2020, CDM wasome alama za nyakati. Kuna kila dalili kwamba kama watamsimamisha Lissu basi wanaweza kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na mgombea wa urais.Kesi kwa siasa za Tanzania zilivyo ni moja ya maisha ya viongozi wa upinzani
Na hapo ndio penye ugumu kwa Tundu Lissu kusimama kama mgombea urais 2020, CDM wasome alama za nyakati. Kuna kila dalili kwamba kama watamsimamisha Lissu basi wanaweza kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na mgombea wa urais.
Hanunuliki yuleAta kina tumbili walisema hivyo hiyvo ila leo wapo CCM. Wapinzani si wa kuwaamini nchi hii
Tundu lisu ni swala muda tu.
Kwani Mwalimu Nyerere anagombea urais na Lisu au?View attachment 1486569
Nilimsikiliza Mheshimiwa Tundu Lissu na nasikitika kwamba sikubaliani naye jinsi alivyoeleza shutma juu na dhidi ya Mwalimu Julius Nyerere, Baba na Muasisi wa Taifa letu.
Inajulikana na umma wa Watanzania, kwamba mimi binafsi, kama Waziri wa Fedha, nilitofautiana na Mwalimu, nikajiuzulu Uwaziri Decemba,1979, nikimwomba ateuwe Mtanzania mwingine atakayeshauri mambo ya Uchumi na Fedha. Lakini tuliendelea kuwasiliana kwa maelewano bila chuki, na hata aliniteuwa niwe Mwakilishi wa Tanzania na Afrika inayoongea Kiingereza katika IMF (Shirika la Fedha Duniani) chini ya miaka mitatu baadaye Novemba, 1972.