kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
UnaotaKwa sasa hivi bado ni Magufuli na baada ya uchaguzi atakuwa ni Magufuli! Hilo nina uhakika nalo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnaotaKwa sasa hivi bado ni Magufuli na baada ya uchaguzi atakuwa ni Magufuli! Hilo nina uhakika nalo!
Vip zile kesi zake za Kisutu. Akikutwa na hatia na akuhukumiwa kufungwa itakuwaje ?Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
Ni wapumbavu pekee hawajui mchango wa Nyerere katika suala la ufukara, uvivu na umaskini wa kupindukia.Nyie watoto Kumchallenge mwalimu ni upeo mkubwa wa fikra, wapo Akina tuntemeke, kasanga Tumbo, kambona, rwizandekwe, Bibi titi, kamaliza, fundikra, mtikila, Uncle Tom, ngaiza, oboud jumbe, mwijage
Makosa ya mwalimu ndo yanapelekea nchi ni maskini kupindukia
We unadhani Kila mtu ameumbwa kwa ajili ya kuabudu na kusujudu
Jasiri wa keyboard?Jasiri anarudi lini maana naye sasa ameshakuwa Keyboard warrior.
Ila wapinzani awamu hii ya Magufuli mahakama imekuwa moja ya sehemu zao za kaziJamaa anasema pale hakuna kesi, ni kumcheleweshea muda tu, siunajua alivyo katili wa sheria!
Swala anauliwa kwa risasi 38?sio matumizi mabaya ya risasi...Ata kina tumbili walisema hivyo hiyvo ila leo wapo CCM. Wapinzani si wa kuwaamini nchi hii
Tundu lisu ni swala muda tu.
Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
Lissu to be a president?!!!
Of all the people!
Franly speaking, he does not have the qualification. Being just good in constitution and laws does not make a person fit to a presidential position.
Bora wewe ni CDF na mwanao mwakani atakua waziri wa KilimoMpaka kufa kwake hata uwaziri mkuu hataupata kwanye nchi hii, amin nawaambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
haaaaa ushaona anashobokea misaada ya hao mashoga ? hanampango nao kabisa endeleeni tu hapa hampati kituYaaan huo utu uzima wako unaona point ndio ushoga? Poleeeh sana muambie huyo yesu mpya mjini aache kuomba msaada kwa hao mashoga, khaaaah hovyooooh
Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565