Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi nionekane kumzodoa ndugu Tundu Lissu, lakini nadhani hili swala la uka'ndidate' wake hajaliwazia vizuri.Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
Sipendi nionekane kumzodoa ndugu Tundu Lissu, lakini nadhani hili swala la uka'ndidate' wake hajaliwazia vizuri.
Kwa mfano, kati ya wote hao alioorodhesha hakuna hata mmoja kati yao aliyewahi kumiminiwa risasi 16, na akabaki mzima.
Hili kila mTanzania analijua na kulielewa vyema kumhusu Tundu, hana haja tena ya kuliweka mbele. Kinachotakiwa kwake sasa hivi si kujitetea kwa binafsi yake, bali kuitetea Tanzania iondokane na mambo mabaya kama yaliyomkuta yeye.
Kampeni zake ni mhimu azielekeze kwenye mambo ya haki za wananchi pamoja na maendeleo yao kiujumla.
Mkuu mbona povu hata hatuna pa kukanyaga! Jamaa ni warrior lakini hayupo huku na sisi na anawasiliana nasi kwa Keyboard, sasa tumwiteje?!Keyboard warrior,
Uanajivunia jela,polisi,Jeshi,tiss,ffu,traffick polisi,mgambo,jkt na wooote wanaolipwa kwa Kodi zetu.
Waambie Marais wastaafu na walio madarakani watembee barabarani bila walinzi wao, ili tujue Nani anapendwa kikwelikweli na wananchi.
Kabla ya tukio lenye historian mbaya kabisa ktk nchi yetu pale Dom juu ya TL,TL hakua keyboard warrior.
Ruhusu mikutano huru,ruhusu mijadala huru redioni TV na popote pale utaona Kama Ni keyboard warrior ama la.
Hata wewe CCM ikitoka sijui Kama itaendelea kuwaita wengine keyboard Warrior.
Kwahiyo na ww ni ccm huko ileje?Ata kina tumbili walisema hivyo hiyvo ila leo wapo CCM. Wapinzani si wa kuwaamini nchi hii
Tundu lisu ni swala muda tu.
Lissu ni chaguo la shetani kuja kutuangamizaLissu ni chaguo la Mungu kuja kutukomboa watanzania
Utakufa weweMpaka kufa kwake hata uwaziri mkuu hataupata kwanye nchi hii, amin nawaambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmawia,
Mkuu Mmawia, kwanza naunga mkono hoja
ya ugombea wa Tundu Lissu na hata kabla hajashambuliwa, ni sisi washauri wa bure humu ndio tulimshauri Tundu Lissu agombee
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
Pili niliuliza, jee atarudi?
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
Tatu, Lissu aliandika barua kwa IGP kuomba ulinzi na kuhakikishiwa usalama wake kwanza ndipo arejee, sisi washauri wa kujitolea tukashauri
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
P
Yaaan huo utu uzima wako unaona point ndio ushoga? Poleeeh sana muambie huyo yesu mpya mjini aache kuomba msaada kwa hao mashoga, khaaaah hovyoooohmimisiyo katili sababu ninawatoto nataka waione tz yao ikinawiri chini ya jpm huyo lissu atakuja kutubadirishia chi yetu iwe ya kishoga maana ndiyo wafadhiri wake na hilo mtabisha wakati kila siku tunamuona nao wanapiga picha
Acha longolongo. Rudi nyumbani ukabiriane na kifungo ili uupate huo Urais. Acha kupiga kelele Kama mwoga wa kutembea usiku peke yake.Ameandika tena Tundu Lissu
Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais.
Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili gerezani, lakini aliishia kuwa Rais wa Cuba. Nelson Mandela alikaa gerezani miaka 27, naye aliishia kuwa Rais wa Afrika Kusini iliyokuwa huru.
Wapo pia akina Kwame Nkrumah, Jawaharlal Nehru, Robert Mugabe n.k.
Mifano ni mingi sana throughout human history. Anayeogopa machungu ya gereza basi hayuko tayari kwa ufalme wa kisiasa.
Hakika huu ni ujasili ulio pitiliza na inaonyesha kadhamilia kuwakomboa Watanzania.
View attachment 1486565
Kwa sasa hivi bado ni Magufuli na baada ya uchaguzi atakuwa ni Magufuli! Hilo nina uhakika nalo!Tuliza mzuka huyo ndiyo rais wako anaye subiriwa