Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche , Ado Shaibu , John Mnyika mwangalieni sana huyu Kafulila is an Opposion Silent Killer

Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche , Ado Shaibu , John Mnyika mwangalieni sana huyu Kafulila is an Opposion Silent Killer

Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Mbona Kila mtu mwenye akili anafahamu kwamba Wapinzani ni useless?

Pia mbona takwimu ziko everywhere na zinawekwa humu jf daily?

Mfano unakuta mjinga mmja kutoka huko Chadomo anadai deni ni kubwa sana lakini huyo huyo hajui Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania Hadi anaongea ujinga wa eti Nchi itapigwa mnada.

Mbumbumbu wa hivyo ndio wamejaa huko Chadomo na Wapinzani Kwa Jumla.

Mpinzani pekee naeweza kumsikiliza.mimi na kuzingatia hoja zake ni Zito Kabwe,hao wengine ni madishi tuu.

View: https://x.com/kafulila_david/status/1878724545110261900?t=F9f2UCD920_7UROc0VgoqQ&s=19
 
Mbona Kila mtu mwenye akili anafahamu kwamba Wapinzani ni useless?

Pia mbona takwimu ziko everywhere na zinawekwa humu jf daily?

Mfano unakuta mjinga mmja kutoka huko Chadomo anadai deni ni kubwa sana lakini huyo huyo hajui Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania Hadi anaongea ujinga wa eti Nchi itapigwa mnada.

Mbumbumbu wa hivyo ndio wamejaa huko Chadomo na Wapinzani Kwa Jumla.

Mpinzani pekee naeweza kumsikiliza.mimi na kuzingatia hoja zake ni Zito Kabwe,hao wengine ni madishi tuu.

View: https://x.com/kafulila_david/status/1878724545110261900?t=F9f2UCD920_7UROc0VgoqQ&s=19

Tutamkabili Kafulila kuanzia sasa
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Sasa utapinga takwimu?
 
Lema, Mdude, Yericko, Ntobi, MMM, Heche, Jacob, Kigaila, Mnyika.... hapo hakuna wa kuweza kumjibu Kafulila. Labda Lissu angejaribu ila wenzake karibu wote ni vilaza na hawana uwezo wa kujibu hoja za msomi Kafulila.
 
Lema, Mdude, Yericko, Ntobi, MMM, Heche, Jacob, Kigaila, Mnyika.... hapo hakuna wa kuweza kumjibu Kafulila. Labda Lissu angejaribu ila wenzake karibu wote ni vilaza na hawana uwezo wa kujibu hoja za msomi Kafulila.
Kwakweli Kafulila ndio mtu pekee wameshindwa kujibu hoja zake
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.



👆👆👆👆
Punguza ukali wa maneno Kafulila ni Kiongozi mkubwa
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Kuna watu hawamfahamu KafulilA huyu jamaa aliihenyeaha Serikali yote Bungeni na akaibuka mshindi
 
Hima wachangiaji, Mwenyekiti na Makamu wanataka kuanza Ziara ndefu Ulaya na America kupeleka hoja ya No reforms no Election.

Bila shaka wataanzia Ubelgiji kwa Wakili Robert Amsterdam,
 
CCM wasipotaja chadema siku yao haijaisha sijuhi wanaogopa nini??kama kweli chadema imekufa leteni tume ya uchaguzi ya kenya tuone ubovu wa chadema sio kuandika mikala ya kijinga na kupotezea watu muda.
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Aliyedesign hili bango Mungu anamuona. Penye rangi ya Vodacom kaweka maelekezo ya Yas' penye Yas kaweka Vodacom
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Huyu Kafulila tulipashwa kumpinga tangu juzi Leo tumechelewa sana lakini ni heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.



👆👆👆👆
Punguza ukali wa maneno Kafulila ni Kiongozi mkubwa
CHADEMA akili zao zinawafaa wenyewe ni ngumu kufuta record za Kafulila kwenye hii nchi
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila aliyetoka Upinzani na anayeumaliza Upinzani huo huo uliyemkuzà na kumlea basi ni huyu Kafulila.

Leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano hata sijui kama ni ya Kweli au ya kubumba lakini naona Upinzani uko ziiii kwanini hatujibu au hatujui au anayoyasema ni ya kweli?

Huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira Kwakuwa ni wazi huyu jamaa anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anafanya kwa ustadi mkubwa wewe fuatilia tu maandiko yake humu utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini wote hawa ni watu wa CCM Upinzani uko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge na Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na ni kimya kimya.

Tuendelee kuchangia chama

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Kafulila asinyamaziwe
 
Mbona Kila mtu mwenye akili anafahamu kwamba Wapinzani ni useless?

Pia mbona takwimu ziko everywhere na zinawekwa humu jf daily?

Mfano unakuta mjinga mmja kutoka huko Chadomo anadai deni ni kubwa sana lakini huyo huyo hajui Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania Hadi anaongea ujinga wa eti Nchi itapigwa mnada.

Mbumbumbu wa hivyo ndio wamejaa huko Chadomo na Wapinzani Kwa Jumla.

Mpinzani pekee naeweza kumsikiliza.mimi na kuzingatia hoja zake ni Zito Kabwe,hao wengine ni madishi tuu.

View: https://x.com/kafulila_david/status/1878724545110261900?t=F9f2UCD920_7UROc0VgoqQ&s=19

Uchawa wako huu ulipwa kiasi gani kwanini huna uchungu kwa Taifa lako?
 
Back
Top Bottom