Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche , Ado Shaibu , John Mnyika mwangalieni sana huyu Kafulila is an Opposion Silent Killer

Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Heche , Ado Shaibu , John Mnyika mwangalieni sana huyu Kafulila is an Opposion Silent Killer

Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila hata kidogo aliyetoka Upinzani na anafanya kila juhudi kuumaliza Upinzani huo ambao ndio umemkuzà na kumlea na kumfanya awe alivyo leo ni huyu Kafulila wa sasa.

Eti leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari na mengineyo huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano Sasa hata hatujui kama ni Kweli au ni data za kubumba tu lakini Upinzani tuko ziiii kwanini hatumjibu au hatuwezi au anayoyasema ni ya kweli?

Kama hamjui huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira na kwakuwa yeye anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anayafanya kwa ustadi sana wewe jaribu kufuatilia tu maandiko yake humu utaona upotoshaji wake utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini hata hivyo wote hawa ni watu wa CCM Upinzani tuko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge au Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na anafanya kimya kimya.

Makamanda tuendelee kuchangia chama hatuna mjomba Wala shangazi wa kutushika mkono.

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Tatizo Wapinzani wamezoea Siasa majitaka when comes Siasa ya issues wanakimbia wote ndio maana Kafulila hajibiki
 
Kama kuna kijana wa hovyo na asiye na fadhila hata kidogo aliyetoka Upinzani na anafanya kila juhudi kuumaliza Upinzani huo ambao ndio umemkuzà na kumlea na kumfanya awe alivyo leo ni huyu Kafulila wa sasa.

Eti leo hoja kubwa kubwa za Upinzani kama ukuaji wa deni la Taifa, Ubinafshaji wa Bandari na mengineyo huyu jamaa amekuwa akizieleza kwa data na mifano Sasa hata hatujui kama ni Kweli au ni data za kubumba tu lakini Upinzani tuko ziiii kwanini hatumjibu au hatuwezi au anayoyasema ni ya kweli?

Kama hamjui huyu Bwana ni mtu hatari kuliko akina Makalla na Wassira na kwakuwa yeye anafanya haya kwa maelekezo ya CCM na Samia na anayafanya kwa ustadi sana wewe jaribu kufuatilia tu maandiko yake humu utaona upotoshaji wake utaelewa nachosema.

Inauma kuona Kafulila anatamba tu na hoja humu bila kukabiliwa na yoyote labda kidogo Mpina na Job Ndugai lakini hata hivyo wote hawa ni watu wa CCM Upinzani tuko wapi?

Nashauri wachambuzi nguli wa Uchumi kama akina Zitto Kabwe, Ruge au Ambokile wa CHADEMA waje na majibu kwa hoja za huyu jamaa kwani anapenyeza agenda zake kwa umakini mkubwa na anafanya kimya kimya.

Makamanda tuendelee kuchangia chama hatuna mjomba Wala shangazi wa kutushika mkono.

View attachment 3249035
View attachment 3249036
Kitakachomshinda ni pale yale anayosema yatatekelezwa, yasipotekelezwa.

Kwa mfano,amesema mabasi mapya ya mwendo kazi yataanza kufanya kazi mwezi Machi 2025.Lakini hadi sasa hata mabasi yenyewe hayajafika.

Alisema Barabara ya Kibaha Morogoro litapanuliwa kwa mfumo wa PPP,lakini hakuna kinachoendelea.

Ni kweli Kafulila ana uwezo mzuri wa kujenga hoja.Lakini inaonekana umahili wake huo hauendani na utekelezaji wa kile anachoongea.
 
CHADEMA ISHAJIFIA YENYEWE NAMWENYEKITI WAKE MAMLUKI LISSU
Shida wivu na jinsi ulivyo
IMG_0612.jpeg
 
Kitakachomshinda ni pale yale anayosema yatatekelezwa, yasipotekelezwa.

Kwa mfano,amesema mabasi mapya ya mwendo kazi yataanza kufanya kazi mwezi Machi 2025.Lakini hadi sasa hata mabasi yenyewe hayajafika.

Alisema Barabara ya Kibaha Morogoro litapanuliwa kwa mfumo wa PPP,lakini hakuna kinachoendelea.

Ni kweli Kafulila ana uwezo mzuri wa kujenga hoja.Lakini inaonekana umahili wake huo hauendani na utekelezaji wa kile anachoongea.
Yule ni Mzee wa Matamko tu
 
Mbona Kila mtu mwenye akili anafahamu kwamba Wapinzani ni useless?

Pia mbona takwimu ziko everywhere na zinawekwa humu jf daily?

Mfano unakuta mjinga mmja kutoka huko Chadomo anadai deni ni kubwa sana lakini huyo huyo hajui Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania Hadi anaongea ujinga wa eti Nchi itapigwa mnada.

Mbumbumbu wa hivyo ndio wamejaa huko Chadomo na Wapinzani Kwa Jumla.

Mpinzani pekee naeweza kumsikiliza.mimi na kuzingatia hoja zake ni Zito Kabwe,hao wengine ni madishi tuu.

View: https://x.com/kafulila_david/status/1878724545110261900?t=F9f2UCD920_7UROc0VgoqQ&s=19

Kafulila una attention seeking disorder. Tangu mwaka huu uanze unahakikisha kila siku unapost inayokuhusu kwenye jukwaa hili. Shtuka, watu wamekupuuza. Msaidie mheshimiwa rais huko uliko aminiwa waache wanasiasa waendelee kubishana. Fanya kazi.
Na huku Uvinza usijisumbue kurudi.
 
Kafulila una attention seeking disorder. Tangu mwaka huu uanze unahakikisha kila siku unapost inayokuhusu kwenye jukwaa hili. Shtuka, watu wamekupuuza. Msaidie mheshimiwa rais huko uliko aminiwa waache wanasiasa waendelee kubishana. Fanya kazi.
Na huku Uvinza usijisumbue kurudi.
Kwa hiyo Mimi ni Kafulira?
 
Back
Top Bottom