Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
"Some People Are Alive Only Because It's Illegal to Kill Them! "
Kuna wachangiaji wanakera Sana...
Sasa Kama hao CCM walikuwa wana wathamini Watu kwann mpaka SILINDE achaguliwe ndio walete maji huo ndio ulaghai
TATIZO
KURA YA MJINGA NA MWEREVU ZOTE ZINA UZITO SAWA KWENYE SANDUKU LA KURA
Kwa leo ngoja Nishie hapa maana nisije Nika kufuru zaidi